Uchaguzi 2020 Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli

Uchaguzi 2020 Zikiwa zimebaki siku 20, wapinzani wanashindana huku akili na mioyo yao ikiamini mshindi ni Magufuli

Utabaki kulialia hivo tu wenzio wanaendelea kushinda kila Uchaguzi.
Nakwaakili zako hizi Kama ndo ungekuwepo wakati wa kupigania Uhuru wa Nchi hii pengine tusingeupata, kwa kuamini kuwa Wakoloni wametuzidi kila kitu Hatuwezi kupata Uhuru wetu.
Akili za wanachama wa Mbowe ni utopolo mtupu.
 
Zimebaki siku 20 tufikie uchaguzi. Hali ya mambo ni kuwa Tundu Lissu, Le profeseli Lipumba na wengine wengi akiwemo mzee wa mtama ni wazi kuwa hawa watu wamesanda.

Watu hawa wanashindana ili kutimiza wajibu. Magufuli hata angeamua kupunga tuu mkono, bado angepita kwa kishindo kutokana na mambo aliyowatendea watanzania. Kama wapinzani watapata walau wabunge 20 basi wakifika bungeni safari hii wabadilike, wafanye kazi kwa maslahi ya wananchi.

Viva Magufuli Viva

Amani Msumari
Tanga
Miaka yako mi
Pamoja na watanzania wengine wanaojielewa na wenye uchungu na nchi hii
Wajinga ndio watamchagua I can't reach you...tena mko wachache sana
 
Back
Top Bottom