Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
kumbe siku zimeisha namna hii Nyamwi255

kila la kheri
 
Ushauriii wangu!!

Nenda ka perform had bwana harusi asijute kuimiliki mazima na rasmi tena halalii.
Usiende kutuangushaa makungwi na nyakangaa, kaoneshee viwango vya Real Madrid ikiwa kwenye mashindano ya UEFA.

kachezeee vipira na pump ya bwana harusi, had aone ni mbwigaz waliochezea kabla yako.

Hongeraa bi harusi, na shughuri ikafane sanaa!!
 
Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Kila la kheri! Cha muhimu hakikisha mbususu hiko vizuri kushughurikiwa masaa 24!
 
Back
Top Bottom