Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Siri ni moja tu, ukawe nyenyekevu na mtiifu, umemaliza.
Achana na yule kijana uliemfia, siku ukichepuka kumbuka ndoa ndo kwishney, yanabaki mahusiano kama boy na girl friend. Halafu yajayo yanahuzunisha
 
Ushauriii wangu!!

Nenda ka perform had bwana harusi asijute kuimiliki mazima na rasmi tena halalii.
Usiende kutuangushaa makungwi na nyakangaa, kaoneshee viwango vya Real Madrid ikiwa kwenye mashindano ya UEFA.

kachezeee vipira na pump ya bwana harusi, had aone ni mbwigaz waliochezea kabla yako.

Hongeraa bi harusi, na shughuri ikafane sanaa!!
We kiboko
 
Siri ni moja tu, ukawe nyenyekevu na mtiifu, umemaliza.
Achana na yule kijana uliemfia, siku ukichepuka kumbuka ndoa ndo kwishney, yanabaki mahusiano kama boy na girl friend. Halafu yajayo yanahuzunisha
Dah!Umeniliza🥺
Asant kwa ushauri mzuri mkuu🤝
 
Asante mdogo wangu!
Siku zimeyoyoma voo
Naona unafurahia sana kufungua ukurasa mpya katika maisha. Hongera..!

Jambo la muhimu la kuweka akilini ni kwamba...Uimara, furaha, upendo wa ndoa yako unakutegemea wewe(ke)
Huo ni ukweli mchungu.

"Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe".....Na kinyume chake.

Kila la kheri binti yangu!
 
Ushauriii wangu!!

Nenda ka perform had bwana harusi asijute kuimiliki mazima na rasmi tena halalii.
Usiende kutuangushaa makungwi na nyakangaa, kaoneshee viwango vya Real Madrid ikiwa kwenye mashindano ya UEFA.

kachezeee vipira na pump ya bwana harusi, had aone ni mbwigaz waliochezea kabla yako.

Hongeraa bi harusi, na shughuri ikafane sanaa!!
Mbona hujamkumbusha kuna muda hata akae kichele mjurusi hausimami avumilie 😹😹😹
 
Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Tunza mumeo,kwa kiafrika penda ndugu wa mume pia,kila la kheri
 
Back
Top Bottom