Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony, Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa

Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Nina mashaka sana na wanawake kama wewe mnaoexpose ndoa mitandaoni. Naamini hapo unachowaza zaidi ni sherehe itakavyokuwa kubwa, jinsi utakavyopendeza, na mabo mengine madogo madogo kama hayo. Hofu yangu ni kuwa utakuwa haujajiandaa kikamilifu kuwa mke. Isijekuwa miezi michache ijayo uanze kuomba ushauri humu jinsi ndoa yako imekuwa ngumu. Ndoa ni zaidi ya comment za mitandaoni.
 
Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi

Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate

Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sana👊

Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA

rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Si comment chochote 🙃
Maisha mema .Ubacherol huku unaendelea
 
Back
Top Bottom