Zile kelele za Chato kuwa mkoa zimekomea wapi?

Zile kelele za Chato kuwa mkoa zimekomea wapi?

sasa waliopo sasa madarakani si waiache tu hio miradi. kwani lazima kuindeleza kama pesa hakuna. mnashindwa hata kufikiri vitu vinavyoleta tija mbawaza umbea tu.
Mnashindwa na nani tena?!
Ukweli ni kuwa, kuna vingine haviachiki, tena labda vina mikataba fungani. Kuviacha ni hasara kuliko kumalizia.
 
Umenikumbusha kipindi Cha mwendakuzimu kila ukifungua TBC unakutana na kipindi kinaitwa KISHINDO CHA AWAMU YA TANO. Mtangazaji alikua na mihemko kwa kuufukuzia ukuu wa wilaya.
Yule jamaa sijui hata anaitwa Nani.
 
Kipindi Mh Magufuli katutoka kulitokea marumbano ya siku kadhaa kuhusu kuifanya Wilaya ya Chato kuwa mkoa. Alijitokeza kanjibhai mmoja ambaye ni nshomile wa kule Uhayani Prof Tibhaijuka kuponda mkakati huo hadharani bila kuficha chochote.

Sasa naona mchakato huo upo kimya mda sasa, ndugu zangu mnaojua vipi umefikia wap huu mpango au mdo tusubili mwakan kipindi mwendazake atakapotimiza mwaka mmoja wa kifo chake ndo uibuliwe tena
Ni ujinga kiwango cha phd labda na lindi iwe nchi!
 
Hakuna vigezo ,Chato ilikuwa sehemu ya Biharamulo na kwa sasa ni Wilaya ndani ya Mkoa wa Geita.
Ni mpango ambao haukua na vigezo bali ni upendeleo wa wazi(mwamba ngozi huvutia kwake)..
Mkoa wa Geita bado haujakuwa mnataka kuongeza Mkoa mwingine?! Mpango hùu unaenda kuongeza gharama.
 
Ninahisi siku ya kuzima Mwenge pale Chato pia kuna Sala maalum ya kuombea Magu, uncle Ben na Mchonga hapo mama kwa jinsi alivyo atatangaza kuwa mkoa.
 
Kipindi Mh Magufuli katutoka kulitokea marumbano ya siku kadhaa kuhusu kuifanya Wilaya ya Chato kuwa mkoa. Alijitokeza kanjibhai mmoja ambaye ni nshomile wa kule Uhayani Prof Tibhaijuka kuponda mkakati huo hadharani bila kuficha chochote.

Sasa naona mchakato huo upo kimya mda sasa, ndugu zangu mnaojua vipi umefikia wap huu mpango au mdo tusubili mwakan kipindi mwendazake atakapotimiza mwaka mmoja wa kifo chake ndo uibuliwe tena
Moshi vijijini iwe nchi basi.
 
Kipindi Mh Magufuli katutoka kulitokea marumbano ya siku kadhaa kuhusu kuifanya Wilaya ya Chato kuwa mkoa. Alijitokeza kanjibhai mmoja ambaye ni nshomile wa kule Uhayani Prof Tibhaijuka kuponda mkakati huo hadharani bila kuficha chochote.

Sasa naona mchakato huo upo kimya mda sasa, ndugu zangu mnaojua vipi umefikia wap huu mpango au mdo tusubili mwakan kipindi mwendazake atakapotimiza mwaka mmoja wa kifo chake ndo uibuliwe tena
Chato haina vigezo kuwa hata wilaya labda ZOO maana wanyama walipekwa kwa nguvu na kulazimoshwa kuishi kwenye mazingira wasiyoyapenda wala kuyazoea ili MWENDAZAKE AWE KAMA MOBUTU KILA ANAPOKUWA CHATO UWANJA WA NDEGE KWISHAA TAA ZA BARABARA ZINAONGOZA PUNDA AFADHALI WANGEPELEKA HATA KULE SUMBAWANGA KWETU KUNA UMUHIMU ZAIDI
 
Daaah! Nasikia Ngara wameshakubali, kwahiyo sooon CHATTLE mkoa.
Mungu tunusuru
 
Jahazi Imezama Njombe Baada Ya Kauli Ya Rais
 
Hivi mtaacha lini ujinga nyinyi. baada ya kuongea mambo ya maana kama kubambikiwa matozo mnaleta mada za kimbea. sasa chato iwe mkoa au wilaya itakusaidia nini. hii nchi kuiongoza rahisi sana sababu wajinga ni wengi mno.
Kuna ugonjwa watanzania tunaugua mkuu. Mambo ya kijinga ndiyo tunayaoigia chapuo. Upumvavu unewajaa watanzania
 
Kasemaje kwan?wengine hatujaipata kauli aliyosema
Kasema Kwasasa Tanzania Haitagawa Maeneo Ya Utawala Maana Ni Mzigo Kwa Serikali Linapokuja Suala La Uemdeshaji
Alitamka Hayo Baada Ya Kuombwa Njombe Iwe Manispaa
 
Bado Kuna mikoa mingi tu mikubwa kieneo.Ikiendekezwa Kila kiongozi akiamka anaomba, manisipaa, tarafa owe Wilaya, Wilaya iwe mkoa sijui kama kweli gharama hizo za uendeshaji Taifa la Watanzania tutazimudu. Inabidi tuwe wakweli tuwe na hoja za msingi.Ninaungana na Mama
 
Back
Top Bottom