Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Umenikumbusha kipindi Cha mwendakuzimu kila ukifungua TBC unakutana na kipindi kinaitwa KISHINDO CHA AWAMU YA TANO. Mtangazaji alikua na mihemko kwa kuufukuzia ukuu wa wilaya.
Yule jamaa sijui hata anaitwa Nani.
Ila hii nchi imepitia upuuzi mwingi sana, kuna muda tulilazimishwa kuangalia TBC kwa lazima, station nyingine zote zikatolewa DSTV ikaachwa TBC, ili wote tuiangalie. TBC yenyewe sasa....