Zile kelele za Chato kuwa mkoa zimekomea wapi?

Zile kelele za Chato kuwa mkoa zimekomea wapi?

Umenikumbusha kipindi Cha mwendakuzimu kila ukifungua TBC unakutana na kipindi kinaitwa KISHINDO CHA AWAMU YA TANO. Mtangazaji alikua na mihemko kwa kuufukuzia ukuu wa wilaya.
Yule jamaa sijui hata anaitwa Nani.

Ila hii nchi imepitia upuuzi mwingi sana, kuna muda tulilazimishwa kuangalia TBC kwa lazima, station nyingine zote zikatolewa DSTV ikaachwa TBC, ili wote tuiangalie. TBC yenyewe sasa....
 
Hivi mtaacha lini ujinga nyinyi. baada ya kuongea mambo ya maana kama kubambikiwa matozo mnaleta mada za kimbea. sasa chato iwe mkoa au wilaya itakusaidia nini. hii nchi kuiongoza rahisi sana sababu wajinga ni wengi mno.
Chato kuwa mkoa au la Kuna impact kiuchumi, kijamii na kisasa. Hakuna kosa kkuzungumzia Hilo labda namna ya kulizungumzia tu.
Ukisema tz ni ya wajinga, na X ni m tz pia X atakuwa mjinga..
 
Kipindi Mh. Magufuli katutoka kulitokea malumbano ya siku kadhaa kuhusu kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa. Alijitokeza kanjibhai mmoja ambaye ni nshomile wa kule uhayani Prof. Tibaijuka kuponda mkakati huo hadharani bila kuficha chochote.

Sasa naona mchakato huo upo kimya mda sasa. Ndugu zangu mnaojua, vipi umefikia wapi huu mpango au ndiyo tusubili mwakani kipindi mwendazake atakapotimiza mwaka mmoja wa kifo chake ndo uibuliwe tena?!
Magufuli mwenyewe alikuwa anawatania tu,halaf alipofariki wakakomalia hili swala la mkoa, nadhani Chato kuwa mkoa bado sana. Mkoa wenyewe wa Geita ni mdogo sana wenye wilaya za Chato, Geita mji, Geita vijijini, Nyang'hwale na Mbogwe. Ni wilaya sita na siyo populated sana. Kama Rais anawapenda sana awapelekee maendeleo na siyo Zawadi ya mkoa.
 
Back
Top Bottom