Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ni Mrundi...kaonekana anacheza ngoma ya Kirundi...sijui jina lake anaitwa Ntiba-somebody...
Hizo ndo kelele walizopiga baadhi ya watu kwenye mitandao wakiongozwa na mtu yule..
Sasa ghafla naona zimeisha. Watu wameacha kuhoji uraia wa makamu wa Rais, ambaye alizaliwa Kigoma. Akasoma shule kuanzia ya msingi mpaka chuo kikuu hapa hapa nchini!
Ambaye baada ya kumaliza kidato cha sita, alienda jeshini kama ilivyokuwa ada ya enzi hizo!
Huko jeshini walikuwa wanajifunza uzalendo na ukakamavu.
Licha ya yote hayo na mengineyo, bado tu kuna watu ambao hata jeshini hawajawahi kutia mguu, walikuwa wanahoji uraia wake!
Sasa ni kimya. Kwa nini?
Lishapatiwa ufumbuzi au?
Sasa wamekubali kwamba yeye ni raia mzalendo au wameona kuwa hawana hoja na wameamua kukaa kimya kana kwamba hawakupiga kelele hapo mwanzoni?
Maajabu!!!
Hizo ndo kelele walizopiga baadhi ya watu kwenye mitandao wakiongozwa na mtu yule..
Sasa ghafla naona zimeisha. Watu wameacha kuhoji uraia wa makamu wa Rais, ambaye alizaliwa Kigoma. Akasoma shule kuanzia ya msingi mpaka chuo kikuu hapa hapa nchini!
Ambaye baada ya kumaliza kidato cha sita, alienda jeshini kama ilivyokuwa ada ya enzi hizo!
Huko jeshini walikuwa wanajifunza uzalendo na ukakamavu.
Licha ya yote hayo na mengineyo, bado tu kuna watu ambao hata jeshini hawajawahi kutia mguu, walikuwa wanahoji uraia wake!
Sasa ni kimya. Kwa nini?
Lishapatiwa ufumbuzi au?
Sasa wamekubali kwamba yeye ni raia mzalendo au wameona kuwa hawana hoja na wameamua kukaa kimya kana kwamba hawakupiga kelele hapo mwanzoni?
Maajabu!!!