Zile kelele za uraia wa Makamu wa Rais zimeishia wapi?

Zile kelele za uraia wa Makamu wa Rais zimeishia wapi?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Ni Mrundi...kaonekana anacheza ngoma ya Kirundi...sijui jina lake anaitwa Ntiba-somebody...

Hizo ndo kelele walizopiga baadhi ya watu kwenye mitandao wakiongozwa na mtu yule..

Sasa ghafla naona zimeisha. Watu wameacha kuhoji uraia wa makamu wa Rais, ambaye alizaliwa Kigoma. Akasoma shule kuanzia ya msingi mpaka chuo kikuu hapa hapa nchini!

Ambaye baada ya kumaliza kidato cha sita, alienda jeshini kama ilivyokuwa ada ya enzi hizo!

Huko jeshini walikuwa wanajifunza uzalendo na ukakamavu.

Licha ya yote hayo na mengineyo, bado tu kuna watu ambao hata jeshini hawajawahi kutia mguu, walikuwa wanahoji uraia wake!

Sasa ni kimya. Kwa nini?

Lishapatiwa ufumbuzi au?

Sasa wamekubali kwamba yeye ni raia mzalendo au wameona kuwa hawana hoja na wameamua kukaa kimya kana kwamba hawakupiga kelele hapo mwanzoni?

Maajabu!!!
 
Mtu yoyote wa kigoma kuwa na ndg Burundi [emoji1060] kitu cha kawaida tu,huyu aliyeweka mipaka bara la afrika alizingua sana

Ova
 
Mtu yoyote wa kigoma kuwa na ndg Burundi [emoji1060] kitu cha kawaida tu,huyu aliyeweka mipaka bara la afrika alizingua sana

Ova

Ndio ushangae hawaulizi Wajaluo, Wakurya, Wameru, Wahaya, Warombo , Wamchinga, Wamasai, Wanyakusya, Wangoni nk
 
Hata kelele kuhusu report ya CAG zimeisha

CAG na genge lake walitaka kumbomoa Mh Rais kwa hiyana zao za kutaka kumfitinisha na wananchi walio wengi. Hiyana hizi ambazo zina fikirisha sana kujua nani hasa aliye nyuma ya hizi na kwa faida gani?

Yeyote aliye kuja na mkakati wa kujaribu kumpaka oil chafu mwenzazake hata baada ya kuona ule uombolezaji wa Watanzania huyu hamtakia mema Rais SSH. Alitaka kumharibia kwa kumchafua kwa kutumia hila.

Na hata choka baada ya mbinu hii kushindwa atatafuta nyingine. Na ndiposa tutataka kuona ile akili ya mwanamke tofauti naya bustani ya Eden ya Hawa, ambayo ilituingiza the whole humanity kwenye kuanguka katika dhambi.
 
Back
Top Bottom