Kwa sasa wale "paka weusi" au vijana wa "system" hawataki ujinga. Wanakupeleleza kimya kimya. Wakijua unacheo kikubwa na wewe sio raia,wanafanya "CONSTRUCTIVE REPLACEMENT"
Tayari walishafanya "unthinkable replacement"na kuwaondoa yule jamaa na wale mabwana warefu warefu wenye pua ndefu kutoka kwenye ile "nyumba ya msonge"
Naambiwa hata wale waliokuwa wanalinda lile "boma" lililokuwa limezungushiwa "seng'enge"ambao walikuwa wameletwa kutoka "ng'ambo ya bonde" wamepukutisha kama wale panzi.
Kama ni kweli jamaa si raia,mwambieni akimbie mapema. Kuna usafi wa fagio la chuma unafanywa kwenye mafiga yote matatu. Hivi karibuni Kuna mmoja huenda akakutana na ,,,,,,,,,,,,,