Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washamsahau!Kweli aisee 🤣🤣🤣
Hivi yule mkurugenzi wa bandari naye ishu yake imefikia wapi?
We Mpuuzi wa kiwango kikubwa sana. Ya kakobe na yule padri mbona usemi imeishia wapi uraia wao?Hata hapa zililetwa na nyumbu wakazirukia.
siasa za upinzani ni mpaka ulewe mdo utawaelewaNi Mrundi...kaonekana anacheza ngoma ya Kirundi...sijui jina lake anaitwa Ntiba-somebody...
Hizo ndo kelele walizopiga baadhi ya watu kwenye mitandao wakiongozwa na mtu yule..
Sasa ghafla naona zimeisha. Watu wameacha kuhoji uraia wa makamu wa Rais, ambaye alizaliwa Kigoma. Akasoma shule kuanzia ya msingi mpaka chuo kikuu hapa hapa nchini!
Ambaye baada ya kumaliza kidato cha sita, alienda jeshini kama ilivyokuwa ada ya enzi hizo!
Huko jeshini walikuwa wanajifunza uzalendo na ukakamavu.
Licha ya yote hayo na mengineyo, bado tu kuna watu ambao hata jeshini hawajawahi kutia mguu, walikuwa wanahoji uraia wake!
Sasa ni kimya. Kwa nini?
Lishapatiwa ufumbuzi au?
Sasa wamekubali kwamba yeye ni raia mzalendo au wameona kuwa hawana hoja na wameamua kukaa kimya kana kwamba hawakupiga kelele hapo mwanzoni?
Maajabu!!!
Mkwere na msoga gang.Hiyana hizi ambazo zina fikirisha sana kujua nani hasa aliye nyuma ya hizi na kwa faida gani?
Jifunze maana ya kuwa raia.Kwani ni ajabu yeye kutokuwa raia? mbona kuna wahindi, waarabu na wasomali kibao lakini ni viongozi kwenye nafasi mbalimbali
Sijui TLS walivutiwa na nini kumchagua kuwaongoza!Ile ilikuwa baseless claim. Source yake ikiwa mtu mmoja huko Twitter kabla Kigogo na Fatma hawajaishikia bango - without any evidence
Kwa kweli. In most cases anaargue kama bush lawyer flani hivi. Uanaharakati umezidi.Sijui TLS walivutiwa na nini kumchagua kuwaongoza!
Wanaweza kuwa raia lakini hawawezi kushika urais wa nchiKwani Wahindi na Waarabu hawawezi kuwa raia wa Tanzania?
Una uhakika wa hilo?Wanaweza kuwa raia lakini hawawezi kushika urais wa nchi