Zile risiti za baa mnazopewa na namba za simu msizidharau, zifanyieni kazi

Boss upo?
Hivi wale ndugu zetu kule posta bado wapo?
Kuna siku nilipita mida ya asbh,nikachungulia sikuwaona.

Nipo mkuu. Walirudi kiwizi wizi, nikaenda kununua miwili kabisa wakipotea nibaki na maisha. Maybe weekend hasa jumapili?
 
Kumbuka akienda kuiba au kufanya tukio lolote la kihalifu ,wewe ndiye utakuwa wa kwanza kutiwa nguvuni.

Kumbuka kilichomkuta Feruzi kwenye wimbo wake wa Wema wangu umeniponza.
 
Nipo mkuu. Walirudi kiwizi wizi, nikaenda kununua miwili kabisa wakipotea nibaki na maisha. Maybe weekend hasa jumapili?
Aiseee
Yaani sikuwaona kabisa na ilikuwa weekend
Ama Kwa vile ilikuwa asubuhi?

Nataka nijaribu jioni
Nikiwakosa sijui ntakuwa mgeni wa nani🥺.
 
Kwenye basi hakuna tipu?
Sema ukweli wwe toka lini ulikata ticket ukatoa tipu kwa konda!!? Lakini Walevi kila siku wanatoa tipu na bado wanabambikiziwa bili lakini kwa kua wako tungi wao wanatoa tu majuto kesho atajijua anaanzaje siku yake mpya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…