Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Kachanganya vyote!Manara muhasishaji au mropokaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachanganya vyote!Manara muhasishaji au mropokaji?
😂😂😂 mkuu umenichekesha mpaka mbavu zimeumaEti koti alilichkua kwa bodaboda aliemleta[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni muonekano wa koti la urithi.Na inasemekana pia koti la Fei toto limeokotwa nje ya ukumbi ..
Alikuta kiingilio koti akatoka nje chap akamuwahi dereva maana nae alikua anapotelea kwenye kona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenichekesha mpaka mbavu zimeuma
Nimeangalia hiyo picha nimecheka mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ila Yanga bhana hawaishi vituko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] check miwani wa Toto imekaa upande koti kubwa kama steve wassira ananing'iniza vi-IPOD
Huyu jamaa wa kushoto ndio suti alovaa sasa[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Jamaa una dhambi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeangalia hiyo picha nimecheka mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]