Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii timu yetu imepitia kipindi cha hovyo sana miaka ya hivi karibuni. Kila nikikumbuka naona kama kuna laana fulani iliachwa kwetu. Nawaza tunaenda Sudan, ni akina nani watatupokea kule kama ambavyo sisi tuliwapokea wao?
Ili Taifa liendelee linahitaji kuondokana na maadui watatu.
1. Upumbavu
2. Unafiki
3. Chuki
Ili Taifa liendelee linahitaji kuondokana na maadui watatu.
1. Upumbavu
2. Unafiki
3. Chuki