Soma post number 8Hapo kwenye matusi bandia ufafanuzi ndugu mwenyekiti
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Lowassa bandia, kuzungusha mikono bandia... Ni hivyo tu sasa maana hakuna namna...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi rangi bandia tayari vile[emoji38] [emoji38]
Maana cha kushangaza mama na baba wote weusi lakini mtoto miaka 20 kishakuwa mweupe mpaka baba yake anajiuliza sijui ilikuwa mbegu ya kinyonga?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]