Si Wazuri Binaadam, ni wimbo wa Ndekule (Orch. Safari Sound).
Sawa kabisa, na humo ndani kuna jamaa anaitwa Hassan Bichuka, kakamua karibu wimbo mzima. Huyo jamaa namkubali sana na mpaka leo bado ana sauti sterio kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Wazuri Binaadam, ni wimbo wa Ndekule (Orch. Safari Sound).
Oooh christmas bonane ooh
Oooh noele bonane ooh...
Unapatikana pia ktk milki yangu.
Zile ndo zilikuwa nyimbo si hizi za computer kisha tunalazimishwa kusikiliza na kuzibatiza kuwa ni zetu.
Bitchuka rehani ameimba sana kwenye huu wimbo.
Kisha Maalim Ghurumo anakuja mpokea...dah those days
Mpaka leo na kesho hizi zitabaki nyimbo bora. Nenda sehemu wanakopiga copy ya hizi nyimbo ndiyo utajua jinsi watu wanavyozizimia.
Msaada wenu wana jf msaada wa rekodi ya nyimbo hizi za zilipendwa online 1. DALILI-MSONDO NGOMA 2. CHEUSI MAGALA NO.1-OTTU JAZZ 3. MALARIA-MSONDO NGOMA 4. NIPELEKE KWA BABA NO.2-OTTU JAZZ 5. SI WAZURI BINADAMU-MLIMANI PARK ORCHESTRA Kama kuna mdau ataweza kuniaploadia online au anafahamu link ambayo nitaweza kuzipata nyimbo hizi, nitashukuru sana
huo naujua unaitwa Noel hata Youtube uko. nnaouzungumzia kuna maneno kabsa yanasea tukacheze kamanyola na marquis ooh christmas oyee
Mnoo! Kuna nyimbo zilirekodiwa ziko stereo mpaka leo ukisikiliza kila chombo unakisikia. Kuna nyimbo za makassy orch wakati wa mosesengo Molema na mosese, Matimila na dr remmy mume wangu, RTD walijitahidi sana. Nimeachana mume wangu nimekwendani kwa rehani ooh baada ya muda si mrefu kasema niondoke sina tabia nzuri ooh!
Mpaka leo na kesho hizi zitabaki nyimbo bora. Nenda sehemu wanakopiga copy ya hizi nyimbo ndiyo utajua jinsi watu wanavyozizimia.
Sawa kabisa, na humo ndani kuna jamaa anaitwa Hassan Bichuka, kakamua karibu wimbo mzima. Huyo jamaa namkubali sana na mpaka leo bado ana sauti sterio kabisa.
Miaka mitatu iliyopita nilikuwa London, bahati nzuri kukawa na pati ya watanzania wiki niliyofika kule. Kwenda kwenye pati nyimbo ambazo zilitia fora ni za muziki wetu wa dansi na hizi za taarab za kina Issa Matona na Bi. Shakira pamoja na hizi za sasa. Watu walicheza hakuna mfano, wakiweka bongo fleva ni wachache tu ndo wanabakia kucheza mpaka Dj anatoa na kupiga nyimbo watu wazipendazo na umati unarudi tena ukumbini kucheza. Original ni original tu, hizi za kucopy na kupaste hazina radha hata.
Si Wazuri Binaadam, ni wimbo wa Ndekule (Orch. Safari Sound).
Hizo nyimbo zote na nyingine nyiiingi mimi ninazo ila nauza.
Una pakee mfukoni ni PM ili nikuite sehemu na kukuchomea kwenye CD...
Napatikana Dar kwa sasa, lakini mwezi ujao ntakwenda home Baidoa.
Mshenzi mkubwa wee, nyinyi ndio mnaoua wenzenu kwa wizi wenu. Unaziuza umeziimba wewe?
Na wewe unayetafuta nyimbo, nenda dukani. Hizo nyimbo sio ZILIPENDWA, bado zipo madukani.
Zilipendwa ni enzi hizo za kina Muba, Salum Abdallah, Daudi Kabaka na wakongwe wengine.
Quban Marimba, Tabora Jazz, Moro Jazz, Mwenge Jazz n.k
Nakuacha na kipande hii moja ya Muba.....Dr. Kleruu
''Oooh Dr. Kleruuu, ukalale pema kiongozi wetu shujaa.......''
''Mwanamapinduzi, kalale pema kyongozi weetu shujaa...
Kifo chake dokta, kimetusikitisha sisi wakulima wote woye......
Bumpkin nitake radhi...
Umenitusi kwa kuniita mshenzi.
Unanilaumu kwa kuuza nyimbo ambazo sijaziimba, mbona wewe unauza masabuli hayo...je uliyaumba?
Msaada wenu wana jf msaada wa rekodi ya nyimbo hizi za zilipendwa online 1. DALILI-MSONDO NGOMA 2. CHEUSI MAGALA NO.1-OTTU JAZZ 3. MALARIA-MSONDO NGOMA 4. NIPELEKE KWA BABA NO.2-OTTU JAZZ 5. SI WAZURI BINADAMU-MLIMANI PARK ORCHESTRA Kama kuna mdau ataweza kuniaploadia online au anafahamu link ambayo nitaweza kuzipata nyimbo hizi, nitashukuru sana