ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Kama mnapatikana Dar, hizi nyimbo zinapatika mtaa Hayati Samora Machel, karibu TIB bank, kuna jamaa wanauza olds nyingi sana, and ukikuta hawana kwa muda huo basi wanakutafutia iwapo utawapa muda.
wadau kama kuna mtu anaufaham huu wimbo au anao.
Nidhamu ya kazi ni msingi wa mafanikio bora kazini, viongozi na wafanyakazi lazima wote muwe na nidhamu, migogoro na migongano makazini ni ukosefu wa nidhamu
 
Mkuu
Nilikupa like na nimetaka kukuongeza like ingine but haiwezekani, hao jamaa walikuwa kamili, hicho kitu kimepigwa tena kama remix yaani ni hatariiiii sana, mara nyingi kinasikika kwenye pubs.

Nasikitika enzi hairudi mara mbili
 
Hiki kitu unakipata Hapa KASONGO -



 
Nakula Mavitu ya Miaka ile....nikisikiliza muda huu kifo cha penzi, ilikuwa lift, hiba,kibela n.k
 
Mkuu unaweza kunipa ufafanuz kuhusu mtiriko wa hiz nyimbo taraka rejea jinamiz la taraka na suruhu za shaban dede
 
Mkuu unaweza kunipa ufafanuz kuhusu mtiriko wa hiz nyimbo taraka rejea jinamiz la taraka na suruhu za shaban dede
Talaka rejea ni nyimbo aliyoitunga shabani dede baada ya kufukuzwa juwata jazz band na kisha kujiunga ddc mlimani park, alipofika ddc akatunga nyimbo ya talaka rejea kua hawezi tena kurudi juwata, 2010 akarudi msondo ngoma akatunga nyimbo ya suluhu kama kufuta kiapo chake cha nyimbo ya talaka rejea, sikinde wakamtungia nyimbo ya jinamizi la talaka kumkumbushia viapo vyake na jinsi alivyohama
 
Ivi ile nyimbo ya makutubu ya ottu jazz, jamaa walikua wanamuimbia nani?
 
Habari wakubwa, nanazitaka zile nyimbo za vipindi vya RTD enzi zile kama "Ugua Pole" au "mama na mwana" na nyinginezo kama unazikumbuka maana nazihitaji zote! naomba mnisaidie wajameni!
 
dahh!! kuna wimbo wa nadhani bi vijana jazz unaitwa barua ya telegram, nautafuta sijaupata, hata ktk mtandao haupatikani.
 
mumba naupata wapi huu wimbo?
Huo wimbo aliuimba akiwa ndekule akishirikiana na waimbaji wengine akiwemo mzee gurumo na skasi kasambula unaitwa shukrani kwa mjomba ukiwa ni utunzi wa mzee gurumo na unahusiana na maisha yake halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…