Umenikumbusha mbali sana mkuu....Ooh selina piga kondemoyo ooh selinaah napata tabu inekuea hvyo selina maalim gurumo
Siri yako ni siri mpeezi"Siri ni Yako,eee,,,,Eee siri... Ukimwambia mtu, siri hiyo 'siyo siri tena,,, *2...inanikumbusha mbali sana Wakuu,,,,
Wimbo wa Aza na wimbo Penzi haligawanyiki hakika walitungaSalama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....
Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki wake leo hii unatamani ungerudisha wakati nyuma.......
Kwa kuanzia tuanze na hawa Orchestra Vijana Jazz,bendi ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Umoja wa vijana wa CCM,bendi hii ilikuwa ikitumia mitindo ya Sindimba,Hekaheka,Heka koka,Watoto wa nyumbani,Air Pambamoto(awamu ya kwanza na ya pili) na baadae mtindo wa Saga Rhumba.....
Kwangu mimi bendi hii ndiyo ilikuwa chaguo langu hasa......Ukitaka kuujua ukali wa bendi hii sikiliza nyimbo kama Chiku,Mary Maria,Penzi lamea penye penzi,Shemeji,Bujumbura,Ilikuwa lifti,Tambiko la Pambamoto,Adza(Aza),Ngapulila,Ogopa Tapeli,Mwisho wa Mwezi,Penzi haligawanyiki,Wivu,Malaine,Nyongise,Shoga,Theresa,V.I.P,Mama Chichi na nyingine nyingi tu tamu....
Bendi hii imewahi kuundwa na wanamuziki kama Hemed Maneti 'Chiriku',Hamza Kalala 'Komando',Manitu Mussa,Issa Chikupele,Hassan Dalali,Hassan Shaw,Ally Jamwaka,Abuu Semhando,Bakari 'Baker' Semhando,Mhina Panduka 'Toto Tundu',Adam Bakari 'Sauti ya zege',Eddy Sheggy,Shaban Yohana 'Wanted',Rashid Pembe 'Profesa',Kida Waziri,Beno Villa Anthony,Rahma Shally,Jerry Nashon 'Dudumizi',Suleiman Mbwembwe,Shaban Dogodogo,Aggrey Ndumbalo,John Kitime,Abdallah Mgonahazelu,Freddy Benjamin,Mohammed Gotagota,Said Hamis 'Misukosuko',Athumani Momba na wengine kibao...
naombeni nyimbo za marijani wosia wa baba na mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, daaa nijaribu kuzitafuta mitandao yote nayojua sijazipata. natanguliza shukrani jaman nazipenda sana , msaada wenu kwa kweliSalama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....
Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki wake leo hii unatamani ungerudisha wakati nyuma.......
Kwa kuanzia tuanze na hawa Orchestra Vijana Jazz,bendi ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Umoja wa vijana wa CCM,bendi hii ilikuwa ikitumia mitindo ya Sindimba,Hekaheka,Heka koka,Watoto wa nyumbani,Air Pambamoto(awamu ya kwanza na ya pili) na baadae mtindo wa Saga Rhumba.....
Kwangu mimi bendi hii ndiyo ilikuwa chaguo langu hasa......Ukitaka kuujua ukali wa bendi hii sikiliza nyimbo kama Chiku,Mary Maria,Penzi lamea penye penzi,Shemeji,Bujumbura,Ilikuwa lifti,Tambiko la Pambamoto,Adza(Aza),Ngapulila,Ogopa Tapeli,Mwisho wa Mwezi,Penzi haligawanyiki,Wivu,Malaine,Nyongise,Shoga,Theresa,V.I.P,Mama Chichi na nyingine nyingi tu tamu....
Bendi hii imewahi kuundwa na wanamuziki kama Hemed Maneti 'Chiriku',Hamza Kalala 'Komando',Manitu Mussa,Issa Chikupele,Hassan Dalali,Hassan Shaw,Ally Jamwaka,Abuu Semhando,Bakari 'Baker' Semhando,Mhina Panduka 'Toto Tundu',Adam Bakari 'Sauti ya zege',Eddy Sheggy,Shaban Yohana 'Wanted',Rashid Pembe 'Profesa',Kida Waziri,Beno Villa Anthony,Rahma Shally,Jerry Nashon 'Dudumizi',Suleiman Mbwembwe,Shaban Dogodogo,Aggrey Ndumbalo,John Kitime,Abdallah Mgonahazelu,Freddy Benjamin,Mohammed Gotagota,Said Hamis 'Misukosuko',Athumani Momba na wengine kibao...
Huo wimbo unaitwa MINUU na bendi marquiz
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.Muongo...
Huo wimbo ulipigwa na bendi iliitwa Legho star...
Muimbaji ni Asosa bwana mdogo
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
" wewe ndiye uliyeanza kwa kutaka eti tachane nilikubembeleza siku nzima ubadili uamuzi wako mama".Nautafuta sana huu wimbo.Kuna wimbo Sijui jinale Ila kuna mistari ipo naikumbuka kama hii "[emoji445]ona Sasa wivu wako nilikubembeleza, usiku mzima ubadili uamuzi wako nilijua waliokudanganya wako wapi, wamekuacha hunapakuanzia [emoji445]
Kama utakuwa unaupata huu wimbo nimvuzishia jina lake
Bado mkuu sijapata jinale nami pia nautafuta" wewe ndiye uliyeanza kwa kutaka eti tachane nilikubembeleza siku nzima ubadili uamuzi wako mama".Nautafuta sana huu wimbo.
Ukiupata nijuze mkuu.Bado mkuu sijapata jinale nami pia nautafuta
Poa mkuuUkiupata nijuze mkuu.
Mkuu huo wimbo ninaoKuna wimbo unaitwa PAKA WEWE nahisi umeimbwa na Tnshala mwana, naomba mwenye nao auweke
Ila ni wimbo wa mbilia bel sio tshala muanaKuna wimbo unaitwa PAKA WEWE nahisi umeimbwa na Tnshala mwana, naomba mwenye nao auweke