ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Ooh selina piga kondemoyo ooh selinaah napata tabu inekuea hvyo selina maalim gurumo
Umenikumbusha mbali sana mkuu....
Hii ngoma kila nikiwa tungi lazima niisikilize mara nikirejea kutoka bar..[emoji39]
 
Siri ni Yako,eee,,,,Eee siri... Ukimwambia mtu, siri hiyo 'siyo siri tena,,, *2...inanikumbusha mbali sana Wakuu,,,,
 
Siri ni Yako,eee,,,,Eee siri... Ukimwambia mtu, siri hiyo 'siyo siri tena,,, *2...inanikumbusha mbali sana Wakuu,,,,
Siri yako ni siri mpeezi"
Siku moja nikachimba shimo nikamfukia paka"
Nikamwambia mke, nifukia mtu.
 
Shahidi angu ni mama watoto yeye anajuaaaa, Kwani hua anaona ninavyohangaika, Nawaelezea walimwengu myajue mateso yangu .....
 
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....

Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki wake leo hii unatamani ungerudisha wakati nyuma.......

Kwa kuanzia tuanze na hawa Orchestra Vijana Jazz,bendi ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Umoja wa vijana wa CCM,bendi hii ilikuwa ikitumia mitindo ya Sindimba,Hekaheka,Heka koka,Watoto wa nyumbani,Air Pambamoto(awamu ya kwanza na ya pili) na baadae mtindo wa Saga Rhumba.....

Kwangu mimi bendi hii ndiyo ilikuwa chaguo langu hasa......Ukitaka kuujua ukali wa bendi hii sikiliza nyimbo kama Chiku,Mary Maria,Penzi lamea penye penzi,Shemeji,Bujumbura,Ilikuwa lifti,Tambiko la Pambamoto,Adza(Aza),Ngapulila,Ogopa Tapeli,Mwisho wa Mwezi,Penzi haligawanyiki,Wivu,Malaine,Nyongise,Shoga,Theresa,V.I.P,Mama Chichi na nyingine nyingi tu tamu....

Bendi hii imewahi kuundwa na wanamuziki kama Hemed Maneti 'Chiriku',Hamza Kalala 'Komando',Manitu Mussa,Issa Chikupele,Hassan Dalali,Hassan Shaw,Ally Jamwaka,Abuu Semhando,Bakari 'Baker' Semhando,Mhina Panduka 'Toto Tundu',Adam Bakari 'Sauti ya zege',Eddy Sheggy,Shaban Yohana 'Wanted',Rashid Pembe 'Profesa',Kida Waziri,Beno Villa Anthony,Rahma Shally,Jerry Nashon 'Dudumizi',Suleiman Mbwembwe,Shaban Dogodogo,Aggrey Ndumbalo,John Kitime,Abdallah Mgonahazelu,Freddy Benjamin,Mohammed Gotagota,Said Hamis 'Misukosuko',Athumani Momba na wengine kibao...
Wimbo wa Aza na wimbo Penzi haligawanyiki hakika walitunga
 
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu....

Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki wake leo hii unatamani ungerudisha wakati nyuma.......

Kwa kuanzia tuanze na hawa Orchestra Vijana Jazz,bendi ambayo ilikuwa ikimilikiwa na Umoja wa vijana wa CCM,bendi hii ilikuwa ikitumia mitindo ya Sindimba,Hekaheka,Heka koka,Watoto wa nyumbani,Air Pambamoto(awamu ya kwanza na ya pili) na baadae mtindo wa Saga Rhumba.....

Kwangu mimi bendi hii ndiyo ilikuwa chaguo langu hasa......Ukitaka kuujua ukali wa bendi hii sikiliza nyimbo kama Chiku,Mary Maria,Penzi lamea penye penzi,Shemeji,Bujumbura,Ilikuwa lifti,Tambiko la Pambamoto,Adza(Aza),Ngapulila,Ogopa Tapeli,Mwisho wa Mwezi,Penzi haligawanyiki,Wivu,Malaine,Nyongise,Shoga,Theresa,V.I.P,Mama Chichi na nyingine nyingi tu tamu....

Bendi hii imewahi kuundwa na wanamuziki kama Hemed Maneti 'Chiriku',Hamza Kalala 'Komando',Manitu Mussa,Issa Chikupele,Hassan Dalali,Hassan Shaw,Ally Jamwaka,Abuu Semhando,Bakari 'Baker' Semhando,Mhina Panduka 'Toto Tundu',Adam Bakari 'Sauti ya zege',Eddy Sheggy,Shaban Yohana 'Wanted',Rashid Pembe 'Profesa',Kida Waziri,Beno Villa Anthony,Rahma Shally,Jerry Nashon 'Dudumizi',Suleiman Mbwembwe,Shaban Dogodogo,Aggrey Ndumbalo,John Kitime,Abdallah Mgonahazelu,Freddy Benjamin,Mohammed Gotagota,Said Hamis 'Misukosuko',Athumani Momba na wengine kibao...
naombeni nyimbo za marijani wosia wa baba na mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, daaa nijaribu kuzitafuta mitandao yote nayojua sijazipata. natanguliza shukrani jaman nazipenda sana , msaada wenu kwa kweli
 
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
 
Muongo...
Huo wimbo ulipigwa na bendi iliitwa Legho star...
Muimbaji ni Asosa bwana mdogo
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
 
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
naomba mweye nyimbo za mzee kalala nimekusamehe lakini sitokusahau, marijani rajab wosia wa baba anitumie plz.
kwa kweli nazipenda sana.
hivi wakuu kipindi cha ujana wenu akina mama zetu walikua wanasumbua kama kina dada wa siku hizi wa age yetu?
 
Kuna wimbo Sijui jinale Ila kuna mistari ipo naikumbuka kama hii "[emoji445]ona Sasa wivu wako nilikubembeleza, usiku mzima ubadili uamuzi wako nilijua waliokudanganya wako wapi, wamekuacha hunapakuanzia [emoji445]
Kama utakuwa unaupata huu wimbo nimvuzishia jina lake
" wewe ndiye uliyeanza kwa kutaka eti tachane nilikubembeleza siku nzima ubadili uamuzi wako mama".Nautafuta sana huu wimbo.
 
Kuna wimbo unaitwa PAKA WEWE nahisi umeimbwa na Tnshala mwana, naomba mwenye nao auweke
 
Back
Top Bottom