ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ngoja nijalibu kuwatafuta wazee wenzangu akina franco luambo na the great pepe kale akiwa na empire bakuba.....unaonekana kijana lakn umefany vema sana kutukumbuka wazee
Ha ha haa Wewe tulia Hadi WENGE BCBG utazipata mkuu.
 
Amani Iwe nanyi wakuu,
Baada ya Kuteseka na Kuhangaika huku na kule mitandaoni nikitafuta ni wapi nitapata Ku-download ngoma zote za hapo kitambo na kukosa, basi nimeona nifungue Blog yangu ZILIPENDWA ambapo kila muda naweka Nyimbo mbali mbali zilizowahi kuwika hapa Barani Africa. Nyumbani ndio kwa Sana.
Hivyo basi wale wadau wote wa Muziki wa Kale Tukutane >>> HAPA <<<
Wadau wote wa KILWA JAZZ, MSONDO, JUWATA, SUPER RAINBOW, TABORA JAZZ, SUPER MATEMBELE, IN AFRICA, MASHROOM, LESS WANYIK/SIMBA WA NYIKA nk BOFYA >>> HAPA twende Pamoja.

Shukran.
Kaka nifanyie mpango wa Chona - Deo Mwanambilimbi. Natanguliza shukrani.
 
Ha ha haa Wewe tulia Hadi WENGE BCBG utazipata mkuu.
dah unanikumbusha jamaa angu flani kwa sasa marehemu nilikuwa nae pale kamata aliitwa Jones wa ukae alipenda ngoma yao flani iliitwa hi ho ha(kama nimechanganya bhas itakuwa ilikuwa a wenge musica!!!
 
Back
Top Bottom