Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 892
- 654
Ebwanaeee mkuu you made my dau today, huu wimbo nimeutafuta miaka sasa bila mafanikio ila leo nimeupata, ubarikiwe sana mkuuHiii hapa Mkuu embu icheki kama ndio yenyewe >>>> Bofya hapa<<<
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwanaeee mkuu you made my dau today, huu wimbo nimeutafuta miaka sasa bila mafanikio ila leo nimeupata, ubarikiwe sana mkuuHiii hapa Mkuu embu icheki kama ndio yenyewe >>>> Bofya hapa<<<
Yaani ndio wenyewe kabisa mkuu, shukran sanaHiii hapa Mkuu embu icheki kama ndio yenyewe >>>> Bofya hapa<<<
Pamoja sana Mkuu, SHARE SHARE SHARE.Ebwanaeee mkuu you made my dau today, huu wimbo nimeutafuta miaka sasa bila mafanikio ila leo nimeupata, ubarikiwe sana mkuu
Ok mkuu, ngoja ni share na kwa wanangu kibao nao wapate ngoma kali.Pamoja sana Mkuu, SHARE SHARE SHARE.
Soon Mkuu nadhan Juma Nne zitakua Teyari, Ni moto juu Moto. Ayeeee.Wapi ntapata mixtape ya nyimbo za zaman
Ila kwa sasa Onja Singles Kali kwanza >>>> Bofya Hapa<<Wapi ntapata mixtape ya nyimbo za zaman
Mkuu naomba wimbo ni majaliwa yake mungu kuona mwaka by sikinde.Ila kwa sasa Onja Singles Kali kwanza >>>> Bofya Hapa<<
Bro usimsahau MUUMINI MWINJUMAIla kwa sasa Onja Singles Kali kwanza >>>> Bofya Hapa<<
Hizi ninazo naziweka soon kaa hapo hapo mkuuBro usimsahau MUUMINI MWINJUMA
KILIO CHA YATIMA
Ha ha haa Wewe tulia Hadi WENGE BCBG utazipata mkuu.ngoja nijalibu kuwatafuta wazee wenzangu akina franco luambo na the great pepe kale akiwa na empire bakuba.....unaonekana kijana lakn umefany vema sana kutukumbuka wazee
Thanks Mkuu SHARE SHARE SHAREaisee nimezipata na its very easy to download yan no advertisements wala prolonged procedures...thanks man@
Francis Mawere
Usiusahau ni majaliwa kuona mwaka by sikinde ngoma ya ukaeThanks Mkuu SHARE SHARE SHARE
Kaka nifanyie mpango wa Chona - Deo Mwanambilimbi. Natanguliza shukrani.Amani Iwe nanyi wakuu,
Baada ya Kuteseka na Kuhangaika huku na kule mitandaoni nikitafuta ni wapi nitapata Ku-download ngoma zote za hapo kitambo na kukosa, basi nimeona nifungue Blog yangu ZILIPENDWA ambapo kila muda naweka Nyimbo mbali mbali zilizowahi kuwika hapa Barani Africa. Nyumbani ndio kwa Sana.
Hivyo basi wale wadau wote wa Muziki wa Kale Tukutane >>> HAPA <<<
Wadau wote wa KILWA JAZZ, MSONDO, JUWATA, SUPER RAINBOW, TABORA JAZZ, SUPER MATEMBELE, IN AFRICA, MASHROOM, LESS WANYIK/SIMBA WA NYIKA nk BOFYA >>> HAPA twende Pamoja.
Shukran.
Seen Mkuu acha ntakupatiaKaka nifanyie mpango wa Chona - Deo Mwanambilimbi. Natanguliza shukrani.
dah unanikumbusha jamaa angu flani kwa sasa marehemu nilikuwa nae pale kamata aliitwa Jones wa ukae alipenda ngoma yao flani iliitwa hi ho ha(kama nimechanganya bhas itakuwa ilikuwa a wenge musica!!!Ha ha haa Wewe tulia Hadi WENGE BCBG utazipata mkuu.
AyeeeeeeeUsiusahau ni majaliwa kuona mwaka by sikinde ngoma ya ukae
Ha ha haa. May His Soul Rest In Peace.Amendah unanikumbusha jamaa angu flani kwa sasa marehemu nilikuwa nae pale kamata aliitwa Jones wa ukae alipenda ngoma yao flani iliitwa hi ho ha!!!