Baba ya music msondo ngoma, unaitwa gereHivi huu wimbo unaitwaje na kaimba nan?
" wajifanya wajuuua aaaa jua linakuwakiaaaaa... kwakuwa unatambua kazi yangu nyumbanii ii... "
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shikamoo, nashukuru sana.Baba ya music msondo ngoma, unaitwa gere
Ha ha ha, shukrani mkuu wangu.Mkuu shikamoo, nashukuru sana.
Mbna kila nikitafuta gere wa msondo.. naletewa wa kilimanjaro band?Ha ha ha, shukrani mkuu wangu.
Kumbe ni gere umeimbwa na ddcBaba ya music msondo ngoma, unaitwa gere
Oooooh yaa nimechanganya kdg ni ddcKumbe ni gere umeimbwa na ddc
Ndugu yangu umeandika kwa uchungu sanaWatu tunafikiria Noah na Bombardier nyie mnafikiria upuuzi tu.
Nkyalimto by saida kaloli...nyimbo moja ya Saida kaloli naitafta kaimba cjui Chalimtu yan daaaaa naitafta sana
...unaweza kuntumia link bro nii doenloadNkyalimto by saida kaloli
Ngoja nichek bro...unaweza kuntumia link bro nii doenload
...nshaipatapa imeandikwa Nkyali Muto nashukru sana sana jembe agiza kinywaj km vp kaka daaaaaNgoja nichek bro
Hahaaaa...nshaipatapa imeandikwa Nkyali Muto nashukru sana sana jembe agiza kinywaj km vp kaka daaaaa
....nmefrah sana yan[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Hahaaaa
Ingia Google andika Said a Karoli Nkyali muto utaupata au ingia tubidy andika hivyohivyo. Au waptrick pia unapatikana...nyimbo moja ya Saida kaloli naitafta kaimba cjui Chalimtu yan daaaaa naitafta sana