Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo shida kwenye kudownload fileNimeingia link hiyo nikadownload MB kama 110 hivi. Nimeenda kule kwenye downloads manager kucheki nmekuta,ila haifunguki. Nmerudi tena hapa kuingia link inaniambia nidownload tena. Nmechoka hoi!
Umeweka .mp3 kwenye jina la hiyo nyimbo iwe katika format ya kuchezaipo shida kwenye kudownload file
nipo mfano kiongozi sijaelewa unaweka namna ganiUmeweka .mp3 kwenye jina la hiyo nyimbo iwe katika format ya kucheza
kiongozi asante sana, nimeshazipata nipo naburudika.nipo mfano kiongozi sijaelewa unaweka namna gani
We bado mdogo ukiona hivyo... LOLHujaniita lkn nimefika wa kwanza..hapo sijakuta hata moja[emoji28]
Ndiyo sababu hujaniita au[emoji35]We bado mdogo ukiona hivyo... LOL
sikujua kama unapenda kuitwa na babu... Kama unapenda nambie uone kama itatokea siku nikaacha...Ndiyo sababu hujaniita au[emoji35]