ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Zilipendwa raha sanaa...

Angalia Kasie alivyokuwa anaserebuka na Nyani Ngabu

10863005lpaw-10863951-jpg_4652054.jpg

Aahahahahahahahaa babuuuu udukuzi huoooo

Huyu msukuma ni shiiiddeeer.
 
Bora umbembeleze maana akienda kuwaamsha wale jamaa zake, hakuna rangi hatutaacha kuiona...
images

Aahahahahahahahaaaa utu uzima dawa babuuu wakija tunawaachia jukwaa tunahamia Dodomaa makao makuu kwa Prime Minister.
 
Hahahahaha nimecheka mpk kidogo nipaliwe na Grants wallah

Pozi la msukuma nalikubali

images

Aahahahahahahahaaaa halafu babu weewee

Hii picha ya mnyamwezi na msukuma umeitoa wapi? Gauni.... pozi..... miguu. ...... mmmhh baaabuuuuu.
 
Mi wasukuma nimewavulia kofia... Sasa hapa walienda studio na mbuzi ili nini hasa???

images

Aahahahahahahahaaaa halafu beberu hilo ujueeee

Mwenye we anasemaga anapenda kunusa kama beberu anavonusaga halafu anabinjua pua kama beberu aahahahahhahaa

Umenikumbusha mbalii looh.
 
Aahahahahahahahaaaa halafu beberu hilo ujueeee

Mwenye we anasemaga anapenda kunusa kama beberu anavonusaga halafu anabinjua pua kama beberu aahahahahhahaa

Umenikumbusha mbalii looh.
Huyo mbuzi alikuwa mstaarabu sana... mbuzi jingine lingeleta msala...

Watu walikuwa hawataki mchezo na maswiitihati wao bhana...
Les-Retrouvailles-au-bord-du-fleuve-Niger.jpeg
 
Huyo mbuzi alikuwa mstaarabu sana... mbuzi jingine lingeleta msala...

Watu walikuwa hawataki mchezo na maswiitihati wao bhana...
Les-Retrouvailles-au-bord-du-fleuve-Niger.jpeg


Looh mahaba mahabatan......


Kubambiana bampa to bampa hehehehee
 
Back
Top Bottom