Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Aahahahahahahahaa babuuuu udukuzi huoooo
Huyu msukuma ni shiiiddeeer.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha nimecheka mpk kidogo nipaliwe na Grants wallahAahahahahahahahaa babuuuu udukuzi huoooo
Huyu msukuma ni shiiiddeeer.
Bora umbembeleze maana akienda kuwaamsha wale jamaa zake, hakuna rangi hatutaacha kuiona...
![]()
Ewaaa hapo sawa....Aahahahahahahahaaaa utu uzima dawa babuuu wakija tunawaachia jukwaa tunahamia Dodomaa makao makuu kwa Prime Minister.
Hahahahaha nimecheka mpk kidogo nipaliwe na Grants wallah
Pozi la msukuma nalikubali
![]()
Hahahahahaa babuuuu hizo nywele za Kasie hizoooo. ........
Gauni......
Mapozi......
Mulemule.....
Aahahahahahahahaaaa halafu babu weewee
Hii picha ya mnyamwezi na msukuma umeitoa wapi? Gauni.... pozi..... miguu. ...... mmmhh baaabuuuuu.
Na pozi lako la beach najua pia nimelipatia...
![]()
Mi wasukuma nimewavulia kofia... Sasa hapa walienda studio na mbuzi ili nini hasa???
![]()
Ewaaa hapo sawa....
Hebu nambie hili pozi lilikuwa na tija gani?
![]()
Ntawaweza vijana wa enzi zile kwa mbwembwe za mapozi ya picha.... wadada tulikuwa tunakomaje. ..... hehehe
Huyo mbuzi alikuwa mstaarabu sana... mbuzi jingine lingeleta msala...Aahahahahahahahaaaa halafu beberu hilo ujueeee
Mwenye we anasemaga anapenda kunusa kama beberu anavonusaga halafu anabinjua pua kama beberu aahahahahhahaa
Umenikumbusha mbalii looh.
Ila na nyie hamkubaki nyuma kwenye kutupia vitu...
![]()
Afu inaelekea kwa bibi kuna msitu flani hivi....Hahahahahhahaaa kofia hiyooo
Hapo kila kitu original kuanzia rangi ya ngozi hadi kwabibi hehehehehehe nduukiiiiiiii.
Huyo mbuzi alikuwa mstaarabu sana... mbuzi jingine lingeleta msala...
Watu walikuwa hawataki mchezo na maswiitihati wao bhana...
![]()
Afu inaelekea kwa bibi kuna msitu flani hivi....
So?Kutongozwa si jambo la kawaida tu?
![]()
Wow babu nilikumiss kumbe bado upo[emoji8] [emoji8] [emoji9] [emoji9]Im here mamy... you need ze needful??