ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao


Suleiman Mwanyiro, Abdallah Dogodogo,
 
Afrika Mokili Mobimba by African Jazz...kibao hatari sana kutolewa na Joseph Kabasele a.k.a Grand Kalle.. kibao hiki kilirudiwa pia Tabu Ley Rochareua na Afrisa International, Sam Mangwana, Tsala Muana na Faya Tess
 

SKASSY KASAMBULA LIVE WITH THE NGORONGORO HEROES BAND,O 1 YR, MUSICIANS INTRODUCTION at "BAHAMA MAMA CLUB" Dar es Salaam , Tanzania

Choggy Sly akiwatambulisha wanamuziki wa bendi ya Ngorongoro Heroes
Source : Sulutani Kasambula
 
Kalubandika remix (Maquiz) by Boboo Sukari and Blanchard Boto

Source : Bobo Sukari Official

Mbuya Makonga wa Maquiz Du Zaire

 
Kilimanjaro Connection Band na Ngorongoro Heroes Band ktk Show ya pamoja zama hizoo
Bendi hizo zilikuwa na wanamuziki-tajwa wanaoonekana ktk show hiyo kabambe live kama kina Shabani Yohana Wanted, Dekula Vumbi, Burhani Muba, Selemani Mwarami, Hamisi Mlengi, Kyanga Songa & Kasaloo Kyanga, Skassy Kasambula, Mpoyi Kalonji, Maneno Uvuruge, Kalonji, Aimala Mbutu, Kanku Kelly Nkashama, Abdallah Dogodogo Challenger, Huruka Uvuruge, Jose Mulunga, Hassan Show, Thadeo Mkama, Shomari na wengineo wakiongoza mashambulizi katika Show ya pamoja Kilimanjaro Connection na Ngorongoro heroes jijini Dar es Salaam Tanzania
Source : Muziki Halisi
 
Afrika Mokili Mobimba by African Jazz...kibao hatari sana kutolewa na Joseph Kabasele a.k.a Grand Kalle.. kibao hiki kilirudiwa pia Tabu Ley Rochareua na Afrisa International, Sam Mangwana, Tsala Muana na Faya Tess

kabasele aliimbiwa wimbo wa kumuomboleza na Franco pamoja na tabu ley ni wimbo mzuri sana .
“naswa ganga wapi eh naswaganga wapi “ wanajiuliza watapata mganga wapi amrudishie uhai kabaselle
 
Sagha Rhumba ni Baba lao.
 

Hili ni bonge moja la Songi...dah 🙌🏾
Ila lilikosa saxa na trumpet...
 
Vundumuna Band

Kanku Kelly Nkashama (Kounkou) na wenzake enzi hizoo walikuwa bendi-tajwa.

Vundumuna personnel:
B. B. Mo-Frank (keyboards, vocal, percussion)
Tabu Frantal (guitar, vocals, percussion)
Tabu Ngongo (alto sax, vocals, percussion)
Kelly Kanku (trumpet, flute, vocal, percussion)
Wabansilu Daid Manytsho (bass, vocal, percussion)
Kabakaba (guitar, vocal, percussion)
Kapela (drums, vocal, percussion)
Micky Jagajaga (drums)
Source : B.B.Mo - FRANCK
 
Dekula Band performs Dezo Dezo

19 Apr 2014
Dekula Band performs Dezodezo - Soukous Explosion - High Life at Mosebacke, Södra Teatern, Stockholm, Sweden. Dekula Kahanga Vumbi, Boboo Sukari , Sammy Kasule ..
Dezodezo : (a copy song of Zaita Musica Band from its Yellow Card album By Freddy Ndala Kasheba
Source : Jonas Fogelström
 
Hivi ule wimbo unaimbwa 'mama nipe nauli nikamfuate Monica,amekimbia Zambia na treni ya mizigo'unaitwaje?je unapatikana ukitaka Ku download?
 
Kuna wimbo una maneno "Paka na panya waliishi nyumba moja.." Ni Wa kitambo sana sijui hata waloimba mana nilikuwa nausikia nikiwa mdogo
 
Aysee kweli JF kisima!! Kupitia huu uzi nimeupata wimbo wa Julie wa Washirika Tanzania band,mkuu Balantanda asante sana
 
Hivi ule wimbo unaimbwa 'mama nipe nauli nikamfuate Monica,amekimbia Zambia na treni ya mizigo'unaitwaje?je unapatikana ukitaka Ku download?
Naona bora niende zambia nikamtafute monica, nimlete daresalam anapambane na kesi yakeeeer, ooo monica eeeee uko wapi. Ngoma tamu sana hii. Ingia gugo fasta tu unaipakua, inaitwa KESI YA KANGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…