ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

23 Jan 2021
Vulindela (Vuli) Yeni, South African renowned saxophone player
Grew up in Tanzania, played with Dar es Salaam based bands namely The Rifters , Safari Trippers Sokomoko, Boma Liwanza, The Revolutions now The Kilimanjaro wana N'jenje band. From Tanzania moved to Salisbury now Harare in Zimbabwe joined Heart Mind & Creation band and moved to South Africa and joined the band called The Slaves which was Lucky Dube's backing band
Source : Club Calabash
 
ATOMIC JAZZ BAND - JOYCE

Mzee Steven John Hiza, Maximillian Bushoke, Atomic Jazz - Joyce
Source : BUSHOKE MUSIC BAND
 
Usinicheke - Dekula Band formed by ex Marquiz Original band members

Live at Pub Stampen Stockholm Sweden


  • Lead guitar: Dekula Kahanga Vumbi
  • Rythm guitar: Göran Larsson
  • Bass: Petit Jose Bass
  • Drums: Lalo Cissokho
  • Vocalist: Gaby Nkomba Kababa

Video source : Dekula Kahanga
 
Band yangu ya mda wote kwa hapa bongo ni mchinga sound wana kipepeo kwa DRC ni Wenge Bcbg 4x4 ikiwa na watu kama JB MPIANA WERASON DIDIE MASELA ADORF DOMINGWEZI ALAIN MAkABA MPElA AIMELIA BLESEBULA TOTO KARONJI na wengine kibao hapo ndo huwa natulia
 
Du! Kumbe Hassan Dalali (aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Simba) alikuwa mwanamuziki nguli? Kumbe huyu jamaa ni kichwa aisee!!!
 
Mkuu nyimbo za kale hazijuchi na zinavutia kuzisikiliza na kuzicheza. Sasa hivi wamekuja hawa wahuni akina Dayamondi na magenge yao ya watoto wanatuimbia nyimbo za ngono, wameuharibu muziki wetu kabisa. Naomba serikali iingilie kati.
 
Kasaloo Ndio yupi hapa?!




Kasaloo Kyanga was a Congolese musician, guitarist, and composer. Kyanga's compositions, including the hit song "Masafa Marefu", composed with Tancut Almasi Orchestra, continue to be performed by musicians. His other hit songs include "Nimemkaribisha Nyoka", "Butinini", "Kashasha", and "Kambwembwe". Wikipedia
Born: 20 May 1957, Kisangani, Democratic Republic of the Congo
Died: 9 September 2011, Tanzania
Partner: Jane Butinini
Children: Jonstar Official

 
Port-au-Prince, Haiti
Septan live : Pa Akizem. Odanio Snhow time
Orchestre Septentrional dJazz Rhumba genre : Haiti Creole : Ricardo pianist
Source : klass H promo


Source : Orchestre Septentrional
 
Habari. Wimbo huu unaitwaje na uliimbwa na bendi gani?
 
Wanajamvi naomba anaefahamu wimbo unaimba agututugu sikinde jina lake halisi
 
09 August 2021

NDOA YA MATESO (cover) Lejendari MARIJANI RAJABU

Kisauji and Babloom band live at Tiffany Diamond Hotel Makunganya street Dar es Salaam POSTA doing bomboka music Genre Bomboka Tanzania Marijan Rajabu Dar International.
Source : Babloom Kisauji
 
BG up sana mdau umechangamsha bongo yangu jamaa wanaweza kweli kweli
 
bagamoyo kuna wimbo kaimba Remmy Ongala anasema akinywa gongo anafanya sana kazi kama unaujua jina lake naomba utupie hapa.
 
bagamoyo kuna wimbo kaimba Remmy Ongala anasema akinywa gongo anafanya sana kazi kama unaujua jina lake naomba utupie hapa.
Huo sijawahi kuusikia wala katika maktaba za nyimbo walizohifadhi wazee wangu haipo. Ngoja niingie chimbo la intaneti labda utaibuka.
 
Huo sijawahi kuusikia wala katika maktaba za nyimbo walizohifadhi wazee wangu haipo. Ngoja niingie chimbo la intaneti labda utaibuka.
Hebu nitaftue wimbo huu " enyi wote wakezangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa ee"
Kama sikosei uliimbwa na vijana jazz, umaarufu wake ni kesi ya bata
 
Nisaidieni waungwana kuna wimbo ambao sikumbuki jina lake wala bendi iliyoimba ila una maneno".....Mara ya kwanza umeniomba tucheze.....muziki wa kwetu siwezi kukataa.....Mara ya pili umerudia tena ......sio kwa kucheza ila kunifinya jicho......uliza kwanza kabla ya kufanya upuuzi wako bwana weeee....mimi ni mke wa mtu......nimekuja kucheza ,nimekuja kufurahisha mwili wangu bwana weee....."TAFADHALINI SANA kwa anayekumbuka music wa bendi zetu za zamani JINA LA WIMBO na BENDI iliyoimba ANISAIDIE.
 
Natafuta nymbo ya msanii mmoja jina silijui ila kwenye nyimbo hyo chorus yake anaimba " I'm gonna miss you on Monday Tuesday miss u Wednesday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…