ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Cheza Na Imba - Jah Kimbuteh with Roots & Kulture




Samweli Mleteni aka Jah Kimbuteh is the pioneer in Tanzanian Reggae music. In 1983 he formed Roots & Kulture Band in Dar-es-Salaam. Roots & Kulture blends Afro-beats with Reggae and Traditional African music. Albums, like "True Democracy" and "I am the Lion" concentrate mainly on socio-political issues.

Source : Irie Production
 
Je, ni ukweli kwamba kando na Mutombo Lufungula pia kulikuwa na Mutombo wengine wawili ndani ya Marquiz du Zaire?
(Mutombo Sozzy na Mutombo Kayembe Thomas aka Toma)
 
Pia kuna Orch. Marquiz Original,kundi hili liliundwa miaka ya 70 na wanamuziki waliotoka katika jimbo la Shaba nchini Zaire(DRC) waliingia nchini wakiitwa Orchestre Super Gabby,baada ya kuingia nchini walibadilisha jina na kuanza kuitwa Orchestra Maquis du Zaire/Marquis Original.....Mitindo waliyoitumia ni pamoja na Ogelea Piga Mbizi,Zembwela na Sendema.....Ukumbi waliokuwa wakipiga(uwanja wao wa nyumbani) ni Lang'ata Social Hall pale Kinondoni(FM Club ambapo kwa sasa ni kanisa).....Hawa pia walikuwa wanaujua muziki hasa kutokana na aina ya muziki mchanganyiko wa kizaire(kavasha) na vionjo vya kitanzania walivyopiga....

Bendi hii ilitamba na nyimbo nyingi sana,nyimbo kama Mayanga,Ngalula,Makumbele,Mpenzi Luta,Mpenzi Scola,Karubandika,Seya,Tipwatipwa,Kisabengo,Wakati nilikuwa mdogo,Bi Sofia,Hali ngumu,Ni wewe pekee,Kibulwa,Huba wangu,Mapenzi sio masihara,Wanaume wa leo,Clara,Mayasa,Wema wangu,Double double,Mabruki,Anjelu,Balimwacha,Kazi yangu Baharia,Mapenzi ya pesa na nyingnie nyingi....Hawa jamaa wanaweza kuwa wanaongoza Tanzania kwa kuwa na nyimbo nyingi sana....

Bendi hii imewahi kuwa na wanamuziki kama Tshimanga Kalala Assosa,Issa Nundu,Mukumbule Lulembo 'Parash',Mbuya Makonga 'Adios',Ilunga Banza Mchafu.Dekula Kahanga 'Vumbi',Bobo Sukari,Fredito Butamu,Mbwana Kocks,Kabea Badu,Mutombo Lufungula Audax,Matei Joseph,Kaumba Kalemba,Mukuna Roy,Berry Kankonde,William Maselenge,Seif Said,Nguza Vicking,Kyanga Songa,Kasaloo Kyanga,Kiniki Kieto na wengine kibao..............

Hakika ya kale ni dhahabu...

mpenzi luta naipenda sana
 
Wakuu habari zenu kuna wimbo nautafuta sana nimejitahidi kadri ya uwezo wangu ila nmeshindwa huo wimbo ameimba Patcho mwamba ft tarsis masela na butamu baadhi ya mashairi yanasena "simama imara kama simba maneno ya watu yasikutishe kenedi otieno nahitaji msaada
 
Msaada,kuna nyimbo naitafuta ila sijui kaimba nan na inaitwaje ila nakumbuk baadhi ya mashair yake km,
[emoji444]Ipo siikuuu_ mpenzi maua.
Nitakuja kwa wazazi wakoo_mpenzi upepoo.

Sina neno mm,kwakua najua,huyo n mzazi mwenzio mpenzi mauaaaa[emoji444]
 
Msaada,kuna nyimbo naitafuta ila sijui kaimba nan na inaitwaje ila nakumbuk baadhi ya mashair yake km,
[emoji444]Ipo siikuuu_ mpenzi maua.
Nitakuja kwa wazazi wakoo_mpenzi upepoo.

Sina neno mm,kwakua najua,huyo n mzazi mwenzio mpenzi mauaaaa[emoji444]
Neema..DDC Mlimani Park
 
Msaaada , nashindwa kuamua kati ya sportify,audiomack,soundcloud na boomplay ipi itakua best kwa miziki ya bongo na nje ya bongo
 
Nazitafuta hii taarabu yenye baadhi ya maneno,,"Na hili pia kaseme acha kujishaua×2,Lile lilompa kideku maungoni likakufikia aaah,umeumepanda umeshuka kwangu hukuona ndaniiii.
Mwenye nayo anisaidie ikiwezekana album nzima.
Pili dar morden taarabu-vijimambo nahita full album.
Natanguliza shukrani.
 
Mkuu naomba uniwekee wimbo wa "WIFI TWENDE NYUMBANI" Ulioimbwa na kaka Tancut Almasi. Natanguliza shukran kwa yeyote atakaeniwekea wimbo huo 🙏
 
Nazitafuta hii taarabu yenye baadhi ya maneno,,"Na hili pia kaseme acha kujishaua×2,Lile lilompa kideku maungoni likakufikia aaah,umeumepanda umeshuka kwangu hukuona ndaniiii.
Mwenye nayo anisaidie ikiwezekana album nzima.
Pili dar morden taarabu-vijimambo nahita full album.
Natanguliza shukrani.
Balantanda nakosa meeeengi.
 
Upo humu...Angalia page ya 7 ya thread hii...Uliwekwa tangu mwaka 2012.
Mkuu Balantanda nashukur sana kwa jibu lako, ila nilichokuwa naomba uniwekee japo link ya video au audio ya kuusikiliza kwa sauti. Ubarikiwe sana mkuu wangu 🙏
 
Mkuu Balantanda nashukur sana kwa jibu lako, ila nilichokuwa naomba uniwekee japo link ya video au audio ya kuusikiliza kwa sauti. Ubarikiwe sana mkuu wangu 🙏
Usikilize hapa

 
Back
Top Bottom