ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Hökarängens centrum Stokholms tour 2022
Sweden

Dekula Band mabalozi wa muziki wa dansi kimataifa : wapiga mtindo wa Zembelwa: wimbo: Usinicheke (maquiz original)



Msinicheke Kazi Ni Uhai Kwa Kila Binadamu, Kazi Ni Msingi Jamani, Sina La Kufanya Msinicheke ..... Hata Baba Mungu Aliumba Dunia Akifanya Kazi ...

Wakaazi wa jiji la Stockholm walisakata rhumba la muziki wa dansi kamanyola bila jasho lenye saxophone kali lilosindikizwa vizuri na ala zote za muziki pamoja na sauti ya uimbaji kiasi cha waliohudhuria tamasha la wazi jijini Stockholm kukumbwa na hisia kali kabisa kama vile wapo jijini Dar es Salaam

Dekula Band musicians are :
  • Guitar/singer: Kahanga Dekula (Vumbi)
  • Guitar: Göran Larsson
  • Bass: Joseph Semafumu
  • Drums: Michigan Ngoy
  • Sax: Henrik Westerberg
  • Singer: Gaby Kababa Nkomba
  • Cameraman: Arwa Mzee Kobe Brayo
  • Quality images courtesy of Arwa-iCTv
Source : Dekula2 Band (official)
 
Tribute to Kiamungana Mateta Verckys from Kinshasa Congo DR

IN SONG BALUTI HE STANDS OUT AS ONE OF AFRICA'S GREATEST SAXOPHONE PLAYER



Source : Vuli Yeni

Baluti - Orchèstre Vèvè

The man himself Kiamuangana Mateta Verckys

 
"Enyi wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa we"
Bata alileta kizaa zaa Hadi jamaa akalala kwa make mdogo tu wiki mzima.
Nautafuta Sana huo wimbo
 
Mimi bana sikinde tuuu, jamani sikinde watani wangu msondo mtaniwia radhi. Dah kuna vibao nikivisikia mpaka natokwa na jasho kuna kitu km Duniani Kuna mambo, wikiendi nalala kwa taabu, kwa ujumla sikinde you rock my heart!! ningekuwa na pesa ninge invest trillions pale basi tu sina kitu. haya kuna hawa marques du zaire enzi za kamanyola bila jasho kuna kibao kama dola mtoto wa Dodoma( yakaa yaka eeehn mwana mama ndimandimaeee mwana mama ...... mtoto wa dodoma) kuna kinanda flani kinapigwa mle na gitaa yaani ni raha tupu!! inanikumbusha sana dada yangu marehemu Mage jamani wakati niko Sumbawanga alikuja toka Dar basi anaziimba hizi nyimbo za makwizzz aaah jamani KAMANYOLA BILA JASHO! ikaja telemuka telemuka chekechaaaaaa
Enzi hizo nikiwa na Philips Radio weee!! Mjini Tarime juu! nilikuwa hizi nyimbo nasikilizia sana kwa mawazo!
1.ASUBUHI NJEMA!
2.JAMBOOO!OOO!
3.WAKT WA KAZI !
4.MCHANA MWEMA!
5.JESHI LEEETU LA POLISIII NI CHOMBO CHA WANANCHIIIII!
5.POLEE!
6.JIONI NJEMA!
& LALA SALAMA DOOO! RTD Weee! uko wapiii!..ila umeshahu ule wimbo wa jesca uko wapi!
 
Wana Jamii Forum. Habari zenu nyote wapendwa. Samahani naomba mwenye wimbo wa Lovy longomba unaitwa ELIE WANGU anisaidie kuupata maana nimeshahangaika sana bila mafanikio. NAOMBENI MSAADA WANA JAMII
 
Daah Balantanda nimekufananisha na Mzee Masoud Masoud anajua sanaa miziki ya zamani na Muziki kama muziki kwa ujumla.

Pia ni mchambuzi mzuri sana hasa akiwepo katika studio yake ile.
 
Mombasa Roots Band Live Performance


Mombasa Roots Band performing Black Magic Woman Cover song from Carlos Santana Mombasa Roots Band perform every
Source : Mombasa Roots Band
 
Zipo habari kuwa kwa Sasa Sikinde zipo mbili na zote zinafanya shoo kila moja kwa upande wake.
Kuna Nginde ya Fresh Jumbe na Benovilla Antony na ipo Nginde ya Hussein Jumbe…
Mwenye habari kamili anaweza kutujuza kupitia ukurasa huu…
 
Napenda kuuliza huyu mama Lady Isa (isabelle) alikuwa anatokea nchi gani kati ya DR Congo au Kenya?
Nyimbo zake
1. Kutereza si kuanguka,
2. Dunia ina mambo (lukumba lukumba)


Lady Isa ni msanii kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mkuu.
 
Kuna wimbo unasema "wengi wamelazwa hospitalini na kuwekewa P.O.P shauri yako Hawae,Hawae P.O.P aah P.O.P......"
Nani anakumbuka umepigwa na nani?
 
Msaada,kuna nyimbo naitafuta ila sijui kaimba nan na inaitwaje ila nakumbuk baadhi ya mashair yake km,
[emoji444]Ipo siikuuu_ mpenzi maua.
Nitakuja kwa wazazi wakoo_mpenzi upepoo.

Sina neno mm,kwakua najua,huyo n mzazi mwenzio mpenzi mauaaaa[emoji444]
Neema
 
Daah Balantanda nimekufananisha na Mzee Masoud Masoud anajua sanaa miziki ya zamani na Muziki kama muziki kwa ujumla.

Pia ni mchambuzi mzuri sana hasa akiwepo katika studio yake ile.
Aliwahi mwalika chidumule studio kipindi hicho akiwa redio Uhuru Masoud.

Chidumule alisema Kuna kundi lilitoka sikinde kwenda OSS,wakaahidiwa Mambo meengi mwisho wa siku hakuna walichopata,wakampiga vijembe boss wao wakamtungia wimbo,Home imenizidi-OSS.
Moja ya mstari uliosikika kwenye huo wimbo,,,ndugu zangu mlioolewa mjihadhari na wadanganyifu msiachane na wanaume zenu nawaambia.

Huku sikinde na chidumule wakawaimbia wimbo wenzao,,,,mtoto akililia wembe mpe.

Moja ya mistari yake inasema,,,hakuna nyumba Wala kibanda ulichoambulia,pole dada uliyataka mwenyewe.
 
Aliwahi mwalika chidumule studio kipindi hicho akiwa redio Uhuru Masoud.

Chidumule alisema Kuna kundi lilitoka sikinde kwenda OSS,wakaahidiwa Mambo meengi mwisho wa siku hakuna walichopata,wakampiga vijembe boss wao wakamtungia wimbo,Home imenizidi-OSS.
Moja ya mstari uliosikika kwenye huo wimbo,,,ndugu zangu mlioolewa mjihadhari na wadanganyifu msiachane na wanaume zenu nawaambia.

Huku sikinde na chidumule wakawaimbia wimbo wenzao,,,,mtoto akililia wembe mpe.

Moja ya mistari yake inasema,,,hakuna nyumba Wala kibanda ulichoambulia,pole dada uliyataka mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23] Raha tupu kutoka kwa wale wazee. Daaah
 
Aliwahi mwalika chidumule studio kipindi hicho akiwa redio Uhuru Masoud.

Chidumule alisema Kuna kundi lilitoka sikinde kwenda OSS,wakaahidiwa Mambo meengi mwisho wa siku hakuna walichopata,wakampiga vijembe boss wao wakamtungia wimbo,Home imenizidi-OSS.
Moja ya mstari uliosikika kwenye huo wimbo,,,ndugu zangu mlioolewa mjihadhari na wadanganyifu msiachane na wanaume zenu nawaambia.

Huku sikinde na chidumule wakawaimbia wimbo wenzao,,,,mtoto akililia wembe mpe.

Moja ya mistari yake inasema,,,hakuna nyumba Wala kibanda ulichoambulia,pole dada uliyataka mwenyewe.
Ina mstari unasema "Nimemuacha mume wangu eee nimeenda kwa leani ooo baada ya muda kanifukuza kasema siwezi kuishi nae.
 
27 November 2022

Ngouma Lokita interview ( in kiswahili) with Mfumu Kibangu

Nguma lokito is one of the best bass guitarist of our time,As he narrates in this interview he played with koffi olomide ,mayaula mayoni soukous stars among others great groups.Kindly subsvribe to this channel as you enjoy the coversation.
Source : mfumu Kibangu
 
Back
Top Bottom