ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Mwenye Audio_Kisiki cha mpingo_ wa Mchinga sound band
Au wimbo wowote ule wa mchinga Sound kuanzia miaka ile 2000....
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mwenye anafaham jina la hii mp3/beat anisaidie, Na kama unayo full ukaitupia hapa itakua makini zaidi.
 
Atakayenipatia wimbo wa tofii mvambe chini ya mokibo sound unoitwa mosesengo zawadi yake no no sana
 
Kuna wimbo una maneno, nanukuu" NI YULE YULE MSICHANA WA ILALA KANIDANGANYA MPAKA NIMEUZA NYUMBA". uliimbwa na bendi gani? Mwenye nao nauomba
 
Aliwahi mwalika chidumule studio kipindi hicho akiwa redio Uhuru Masoud.

Chidumule alisema Kuna kundi lilitoka sikinde kwenda OSS,wakaahidiwa Mambo meengi mwisho wa siku hakuna walichopata,wakampiga vijembe boss wao wakamtungia wimbo,Home imenizidi-OSS.
Moja ya mstari uliosikika kwenye huo wimbo,,,ndugu zangu mlioolewa mjihadhari na wadanganyifu msiachane na wanaume zenu nawaambia.

Huku sikinde na chidumule wakawaimbia wimbo wenzao,,,,mtoto akililia wembe mpe.

Moja ya mistari yake inasema,,,hakuna nyumba Wala kibanda ulichoambulia,pole dada uliyataka mwenyewe.
Hapo alikuwa anazungumziwa mzee wa kazi Bitchuka baada ya kulaghaiwa na boss wa OSS.

Bitchu alivyogundua kuwa amelaghaiwa kwa hasira akatunga wimbo wa homa imenizidia 😂😂😂
 
Wakuu kulikuwa na cassette tape iliyokuwa inaitwa broken heart ilikuwa na baadhi ya nyimbo kama it must have been love na careless whisper...kuna mtu anaweza kuikumbuka na kunipatia list ya nyimbo zake? Side A na B. Nitashukuru sana. Zile nyimbo zinanikumbusha mbali sana (wakati ninaishi na wazazi) especially nikizisikiliza kwa mpangilio zilivyokuwa zimepangwa.
 
01 October 2023

Mwanamuziki Fresh Jumbe na Mlimani Park Orchestra "Sikinde Ngoma ya Ukae" akiimba wimbo wa "Matatizo ya Ukewenza"


View: https://m.youtube.com/watch?v=jNroFrbqmkY

Ni Jumamosi ya tarehe 30-Sep-2023 katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa kwenye maadhimisho ya miaka 45 ya bendi ya Mlimani Park Orchestra sambamba na uzinduzi wa album ya "Maadili"

Source : Mlimani Park Orchestra "Sikinde Ngoma ya Ukae
 
Mwenye nyimbo
1/Hali ngumu wa marquis original
2/Umempata wa kukutunza ni heri uishi nae wa MCA international
3/Duniani kuna mambo wa Dekula kahanga vumbii
4/ Baba Jenn wa Bantu group
Natanguliza shukran
 
Kama Kuna mtu kaupata huo wimbo nikuulizapo Jambo huja juu, huja juu mpenzi wangu wee, hata majembe hutokea wakati Fulani hugongana
 
Mwenye nyimbo
1/Hali ngumu wa marquis original
2/Umempata wa kukutunza ni heri uishi nae wa MCA international
3/Duniani kuna mambo wa Dekula kahanga vumbii
4/ Baba Jenn wa Bantu group
Natanguliza shukran
 
Back
Top Bottom