ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Daaaaaaaaaah shukran saaaana ndg yanguu
Nyimbo nimeitafuta saaana
Nashukuru saaaana
Inanikumbusha marehemu Mzee wangu daaaaaaaaaah aiseeee
 
Daaaaaaaaaah shukran saaaana ndg yanguu
Nyimbo nimeitafuta saaana
Nashukuru saaaana
Inanikumbusha marehemu Mzee wangu daaaaaaaaaah aiseeee
 
Kama Kuna mtu kaupata huo wimbo nikuulizapo Jambo huja juu, huja juu mpenzi wangu wee, hata majembe hutokea wakati Fulani hugongana
Wimbo huu waliimba Ottu jazz band mwishoooooooni miaka ya 90
Nami nauhitaji huu
 
Unitesa, Unaniumiza, Unananichoma, Mkuki Moyo - Safari Trippers


View: https://m.youtube.com/watch?v=YnS4Xbl3zkw&pp=ygUMbWt1a2kgbW95b25p
Source : Power Nguzo

Inasemekana ngoma hii kali itoka mwaka 1973 hivyo mwaka 2024 tayari unatimiza miaka 50.

Zaidi ya santuri 10,000 zilitengenezwa kwa ibao hiki cha Mkuki Moyoni mwaka 1973. Imagine kizazi hiki ukichanganya platform zote za muziki jamaa hawa wangekuwa bendi tajiri katika viwango vya ubilionea...

Originally published on
FRIDAY, AUGUST 19, 2016
By laughtz.blogspot.com

On 3rd March 1955 in Kariakoo a child was born and given the name Marijani. The child’s mother was a housewife and the father Mzee Rajabu worked at a printing press. The child was brought up in a strict Muslim upbringing, but grew up to love music, he later said his favourite singers were Tabu Ley and Sory Kandia Kouyate . His primary school education went side by side with religious learning from a Madras. A fellow student remembers Marijani giving religious lessons to his fellow students during the primary school days. In 1970 at the age of 15 he became a member of STC Jazz Band, a band owned by a semi government organization. The band, which was formerly known as The Jets, was under the leadership of Raphael Sabuni. While with this band Marijani got his first tour outside Tanzania when the band went to Nairobi to record several songs under the Philips label. As he was a student soon there was trouble as he was spending too much time travelling and the band had to let him go to escape court action, this was more complicated as the Band was owned by a respected parastatal organization. STC stood for State Trading Corporation. In 1972 Marijani teamed up with the Safari Trippers, which was being led by David Mussa. It was in this band that the East African music scene came to hear the powerful voice of Marijani Rajabu. The band had one hit after another and Marijani Rajabu and Safari Trippers became a household name. David Musa once said the bands hits Mkuki Moyoni and Rosa Nenda Shule sold more tha 10,000 copies. It was in this band that Marijani also began playing the guitar. In the song Olillah, he sang and played the rhythm guitar


Video : The Safari Trippers Band : by courtesy of Vuli Yeni based in South Africa
 
Mwenye kuujua huu wimbo wakuu
 

Attachments

  • 4_5910237417226372496.mp4
    2.4 MB
J
VULI YENI'S MUSIC JOURNEY FROM DAR ES SALAAM TANZANIA TO THE WIDER WORLD

INTERVIEW AT MABOPANE COMMUNITY RADIO STATION


Source : Vuli Yeni

1714777398507.png

(Clockwise from top left) (a) Ninny Chitja with Patrick Balisidya; (b) Lindi Yeni with Afro-70, Temeke Stereo Bar, 1970; (c) Mabitozi Vuli Yeni (left) and popular DJ Salum 'Choge Sly' Mrisho sporting bugalu and a 'Jackson 5' hat, posing at a photographic studio, 1975; (d) Ninny Chitja with Shabby Mbottoni on bass guitar. Sources: Photographs (a), (b) and (d) appear courtesy of Freedom Balisidya; photograph (c) appears courtesy of Vuli Yeni​

 
1714777648301.png

The Revolutions, Kilimanjaro Hotel, Dar es Salaam, 1979. Left to right: Mohammed Mrisho (guitar), Hemedi Chuki (lead vocals), Vuli Yeni (organ), Ibrahim Mtumwa (drums) and Joe 'Ball' Ribeiro (bass guitar). Source: Photograph courtesy of Vuli Yeni.​

 
Mwanamuziki wa kitanzania aandika vitabu viwili katika lugha ya Kiswahili na English kuweka historia wa muziki wa bendi maarufu

KITABU : THE WANYIKA BANDS FROM SIMBA WANYIKA TO LES WANYIKA AND ALL EAST AFRICAN BANDS


View: https://m.youtube.com/watch?v=NGEJLjxQhD0

Abuu Omari mwanamuziki afanya research ya kina kuhusu bendi za muziki na kuweka kumbukumbu za historia sawa ikiwemo yeye pia akiwa na magwiji wengine, sumulizi za maandishi sahihu zitakazoishi kwa vizazi vyote vya wafuatiliaji muziki ...
 
Christina Moshi ....

International Orchestra Safari Sound....wana Ndekule

Sina budi mama kukueleza, katika wimbo mpenzi Moshi...
Mchana kutwa huwa nashinda sina raha mkono kwenye shavu...
Sina budi mama kukueleza, katika wimbo mpenzi Moshi...
Mchana kutwa huwa nashinda sina raha mkono kwenye shavu...


Kusema kweli moyo wangu umeridhika kwa penzi lako mpenzi Christina...
Nimeamini penzi ni kiungo kwa wapendanao unanitoa upweke...
Kusema kweli moyo wangu umeridhika kwa penzi lako mpenzi Christina...
Nimeamini penzi ni kiungo kwa wapendanao unanitoa upweke...

Christina Moshi sikiliza maelezo yangu katika wimbo mamaa...
Naelewa penzi li bado ni changa usije tena ukabadilika baadae...
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili wa tatu Mungu wetu...
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili wa tatu Mungu wetu...

Christina Moshi sikiliza maelezo yangu katika wimbo mamaa...
Naelewa penzi li bado ni changa usije tena ukaniruka baadae...
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili wa tatu Mungu wetu...
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili wa tatu Mungu wetu...

Bridge....

Pendekezo langu kwako liwe kama benki, benki imara kwa usalama...
Pendekezo langu kwako liwe kama benki, benki imara kwa usalama...
Akiba yangu ya mapenzi nakupa wewe Moshi ee mama...
Akiba yangu ya mapenzi nakupa wewe Moshi ee mama...


Uwezo sina ningekujengea nyumba, uwezo sina ningekununulia gari...
Bali matatizo madogo hayatanishinda.....
Uwezo sina ningekununulia mtumbwi, uukabidhi kwa wavuvi wakakuvulie samaki....

Uwezo sina ningekupeleka Arusha, ukapunge hewa nzuri na kutazama wanyama mbugani...
Bali matatizo madogo hayatanishinda...

Nitajipigapiga ili niyatatue, sababu jungu kuu halikosi ukoko, sababu jungu kuu halikosi ukoko...
Mpenzi Moshi lea hili penzi letu, usiliweke juani litakuja nyauka.....

Pendekezo langu kwako liwe kama benki, benki imara kwa usalama...
Pendekezo langu kwako liwe kama benki, benki imara kwa usalama...
Akiba yangu ya mapenzi nakupa wewe Moshi ee mama...
Akiba yangu ya mapenzi nakupa wewe Moshi ee mama...


Kibwagizo:
Hebu sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, Moshi ee, ee Ndekule..
Hebu sikia maneno ya kuambiwa na wana Ndekule, Moshi ee, ee Ndekule..
Nilikuwa nautafuta huu. Nafurahi nimeupata kwa msaada wa haya mashairi. Ahsante.
 
Back
Top Bottom