Zimamoto Geita wazima uongo wa binti mdanganyifu

Zimamoto Geita wazima uongo wa binti mdanganyifu

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,174
Reaction score
16,794
#HABARI Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Geita, linamshikilia Shelida Ibrahim (20), mkazi wa mtaa wa Mkoani Halmashauri ya Mji Geita, kwa kosa la kuwapigia simu zimamoto na kuwaambia kuna tukio la moto na baadae akazima simu yake kwa lengo la kujifurahisha na kusababisha jeshi hilo kuingia hasara ya kuwasha magari na kukimbilia eneo ambalo walidanganywa.

Shelida alipiga simu kwenye namba ya dharura 114.

#AwadanganyaZimamoto
#EastAfricaTV
FB_IMG_1662466238014.jpg
 
ILA NA NINYI BANA, MKIPIGIWA SIMU WAKATI WA TUKIO LA KWELI HAMTOKEI.
LA UWONGO MNATOKEA!😀😀
Basi watakuwa wanatokea matukio yote,kwani wamejifunza kwenye kazi Kuna burudani na vituko🤸🤸🏿‍♀️
 
Back
Top Bottom