Zimamoto Geita wazima uongo wa binti mdanganyifu

Wahesabu tukio hilo kama DRILL
 
Kasikiliza hili ngoma lbda
La yvonne chakachaka ama burning up. Hahaha atakuwa kampenda fireman
 
Halafu utasikia mtu namba za wizara haziwapo active kwa akili hizi za watanzania kweli uweke namba ya simu public yatapiga mpaka matahira kama hao.
 
Halafu utasikia mtu namba za wizara haziwapo active kwa akili hizi za watanzania kweli uweke namba ya simu public yatapiga mpaka matahira kama hao.
Ziwepo tu kwani Milembe ilijengwa wapi na kwa sababu zipi?
 
Amesema alitaka kuwachangamsha, sasa swali ni Je wanataka kuchangamka au hawataki?
 
Walenda mbio bila maji , dgo alikua anawaweka katika hali ya ukakamavu wasikae kizembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…