Zimbabwe nchi yenye hali mbaya zaidi duniani, Tanzania yashika nafasi ya 99

Zimbabwe nchi yenye hali mbaya zaidi duniani, Tanzania yashika nafasi ya 99

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Wakati tukiwaza maisha magumu embu tupige magoti tumshukuru Mungu na kuwaombea wenzetu kama zimbabwe, Somalia n.k ambao wanapitia kipindi kigumu cha maisha.Tunalalamika hali ni mbaya ila kuna wenzetu wanataman hata haya maisha tunayoishi sisi.

#HABARI
Zimbabwe imetajwa kuwa nchi yenye hali mbaya zaidi duniani katika ripoti ya mwaka 2022 ya nchi zenye hali mbaya zaidi duniani ya Hanke (HAMI). Kiwango cha kushangaza cha masaibu nchini humo kimechangiwa na sera zinazotekelezwa na Rais Emmerson Mnangagwa, anayewakilisha chama cha ZANU-PF.

Kulingana na ripoti hiyo, Zimbabwe ilipata mfumuko wa bei ulioongezeka wa asilimia 243.8 katika mwaka uliopita.

Tanzania imeorodheshwa katika nafasi ya 99 huku madeni yakiwa ni sababu ya nchi kuwa na ahueni ukilinganisha na nchi nyingine.

Chanzo: East Africa Radio

FB_IMG_16852704962969489.jpg
 
Halafu huko maisha yalipo magumu mtu hajui kesho anaishije ndio wanapozaliana sana, mwanamke anapigwa bandika bandua!

Kuna jamaa anasema ikiwa ni vita au taabu watu ndo wanakuwa na mzuka wa kupiga mashine
 
Wakati tukiwaza maisha magumu embu tupige magoti tumshukuru Mungu na kuwaombea wenzetu kama zimbabwe,Somalia n.k ambao wanapitia kipindi kigumu cha maisha.Tunalalamika hali ni mbaya ila kuna wenzetu wanataman hata haya maisha tunayoishi sisi.

#HABARI
Zimbabwe imetajwa kuwa nchi yenye hali mbaya zaidi duniani katika ripoti ya mwaka 2022 ya nchi zenye hali mbaya zaidi duniani ya Hanke (HAMI). Kiwango cha kushangaza cha masaibu nchini humo kimechangiwa na sera zinazotekelezwa na Rais Emmerson Mnangagwa, anayewakilisha chama cha ZANU-PF.

Kulingana na ripoti hiyo, Zimbabwe ilipata mfumuko wa bei ulioongezeka wa asilimia 243.8 katika mwaka uliopita.

Tanzania imeorodheshwa katika nafasi ya 99 huku madeni yakiwa ni sababu ya nchi kuwa na ahueni ukilinganisha na nchi nyingine.

Chanzo:eastafrica radioView attachment 2638075
Sasa unataka tufanyeje?
 
Halafu huko maisha yalipo magumu mtu hajui kesho anaishije ndio wanapozaliana sana..mwanamke anapigwa bandika bandua!!
Kuna jamaa anasema ikiwa ni vita au taabu watu ndo wanakuwa na mzuka wa kupiga mashine
Ule upumbavu na umasikini,uliowajaa ndio unawafanya wazaliane sana,unajua nini,masikini hana starehe nyingine nje ya kudinyana,na hana elimu yakujikinga,
 
Back
Top Bottom