Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
hiyo bangi ina onekana ina limwa na wawekezaji au watu walio pewa kibali maalm na sio kila mtu mwenye eneo ana weza lima, na yote ni kuzuia matumizi mabaya ya bangi...
kama nasi tutaiga au tutataka kuingia huko basi itakuwa kwa utaratib maalm ambao hauta sumbua
kama nasi tutaiga au tutataka kuingia huko basi itakuwa kwa utaratib maalm ambao hauta sumbua