Tunaongea wapi??
Mnaongea ni kama wakenya wanalala siku kucha .....siuangalie kenya uone kama tuna lala
1000,000 irrigation scheme tana river inakuja hatupigi domo ......SMH mnajua maana ya kulala kweli?
Ingia CNN african startup series ama inside africa ama market place africa uone kila wiki wanaleta entreprenuers wakenya wanaofanya vyema kibiashara .....hamjui chochote JF na
geza ndio anawapa Idea kwambaTZ mnapaa hamuendi mahali Pipeline bado ......railway bado!!....mko mbali hata 55bn$ hamjafika bado kenya tunaingia 70bn$ kileleni mwa mwaka