Zimbabwe: Wakamatwa kwa kuuza tiketi za kwenda mbinguni

Wakristo mpaka wakipata akili kama wanapigwa watakua washaisha duniani πŸ€£πŸ˜€πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜
Please!understand in order to believe. Most people especially third world countries, they believe in order to understand.
 
KweeeeeemaaaaaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We mtoto utakuwa sio rizki.
Tumekukataza kuvaa nguo za shemeji yako na kupaka Lipstick lkn mkaidi sana.
🀣🀣
 
KweeeeeemaaaaaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwema sana . Tazama mchungaji mwingine huyo. Kabaka mtoto na kumuambukiza ukimwi . Ati alikuwa anamtoa mapepo.
 

Attachments

  • VID-20240115-WA0013.mp4
    13.2 MB
Mchungaji yuko sahihi kwa sababu anatafuta pesa, ila hao waumini ndio vichwa maji
 
Ndio nini

Uarabu sio uislam waislam sio wajinga kama nyie

Waislam watu makini sana fanya ukanunue tickets πŸ˜€
sasa mimi nakushangaa unashindana na huyu mchambia rungu za wenzake umesahau kuwa ameshapewa baraka zote huyo ni mbarikiwa
 
lakini hawa ndugu walifanya ulaghai '' Tiketi zilikuwa ni miti iliyopuliziwa rangi inayofanana na dhahabu huku zikiwa zimeandikwa ''Tiketi ya kwenda mbinguni- jinyakulie moja''. Huwezi kuuza kitu unachosema ni dhahabu kumbe sio. Hapa ndipo hawa wanandani walipovuka mpaka''[emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Sibabaishwi na wanachokisema polisi. Hizi tiketi ni dhahabu halisi na sio kweli kuwa nimepulizia rangi. Ni Yesu mwenyewe aliyenipa pale nyuma ya mgahawa wa KFC huku akiniambia nikauze ili nipate fedha za kwenda anga za juu. [emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Nia yetu ni kuondokana na dunia hii tuende zetu anga za juu tukavute unga wa cocaine.

Sijafanya chochote. Mume wangu ndio alikuwa anauza hizo tiketi za dhahabu za kwenda mbinguni. Mimi nilikuwa mwangaliaji."[emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…