Wasije wakakamia mechi wakaadhibiwa vibaya Sana kule wakadhani wanaonewa na waamuzi. Afcon kwetu itakuwa muda msuri wa wachezaji kujiuza Kwa kutandaza kabumbu safi inayowavutia mawakala sio kutengua enka za akina salaa, mane, na wengine, tutaadhibiwa Kwa upuuzi wa hivyo. Kacha Amunike epuka wachezaji kama Mohamed Hussein Shabalala
Ninja na Kelvin wanachezaje mpira?Shabalala anacheza mpira lakini usiovutia, anarukia na kuparamia wachezaji wenzake uwanjani, anatumia fujo kunyang'anya mpira wenzake wanaojali afya zao wasiumizwe na uchezaji wake usiozingatia wala kujali afya za wengine.
Kwa uchezaji wake ni rahisi mno kutolewa nje Kwa Kadi nyekundu na kuitia hasara taifa stars. Finali za Afcon referees wako makini Sana kuwalinda wachezaji nyota wasiparamiwe ovyo uwanjani na mashabalala. Hivyo, wachezaji wetu lazima wafahamishwe mapema ili wasije wakapewa Kadi nyingi nyekundu Kwa kuparamia wachezaji wenzao kama wanavyofanya kwenye ligi yetu.
KwaKuvamia wenzake akitekeleza "do or die" anasahau kuwa ajira ya wenzake iko kwenye miguu Yao. Ndio maana wachezaji wetu mpira unaisha mapema Sana kwasababu ya kushabalaliwa na viwanja vibovu hasa mechi za mikoani.Aliachwa kwa kukuchulia mchuchu?
Ninja humjui ww. Siku moja nlimsikia akisema mazoezini kuwa "Namna ninavyoungia mm forward hawezi thubutu kuingia na kama ataingia atajichanganya na nitamfanya kitoeo cha mfano' Ninja anavunja mtu na anataka aogopeke kwa namna hiyo.Waonywe vikali pia, Ila hawamfikii Zimbwe jr
Shabalala anacheza mpira lakini usiovutia, anarukia na kuparamia wachezaji wenzake uwanjani, anatumia fujo kunyang'anya mpira wenzake wanaojali afya zao wasiumizwe na uchezaji wake usiozingatia wala kujali afya za wengine.
Kwa uchezaji wake ni rahisi mno kutolewa nje Kwa Kadi nyekundu na kuitia hasara taifa stars. Finali za Afcon referees wako makini Sana kuwalinda wachezaji nyota wasiparamiwe ovyo uwanjani na mashabalala. Hivyo, wachezaji wetu lazima wafahamishwe mapema ili wasije wakapewa Kadi nyingi nyekundu Kwa kuparamia wachezaji wenzao kama wanavyofanya kwenye ligi yetu.
Sijaona mchezaji fundi kama zimbwe bongo nowShabalala anacheza mpira lakini usiovutia, anarukia na kuparamia wachezaji wenzake uwanjani, anatumia fujo kunyang'anya mpira wenzake wanaojali afya zao wasiumizwe na uchezaji wake usiozingatia wala kujali afya za wengine.
Kwa uchezaji wake ni rahisi mno kutolewa nje Kwa Kadi nyekundu na kuitia hasara taifa stars. Finali za Afcon referees wako makini Sana kuwalinda wachezaji nyota wasiparamiwe ovyo uwanjani na mashabalala. Hivyo, wachezaji wetu lazima wafahamishwe mapema ili wasije wakapewa Kadi nyingi nyekundu Kwa kuparamia wachezaji wenzao kama wanavyofanya kwenye ligi yetu.
Mbali ya nn?Mtoa mada umeona mbali...
Kwan anapiga mjaniBangi hizo alizovutishwa kabla ya mchezo ndo zinamsumbua