Zimebaki siku 50 Giniki Gisamoda na Gabriel Geay kutuwakilisha Kimataifa

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Emanuel Giniki Gisamoda na Gabriel Gerald Geay ni Wanariadha Wawili mpaka sasa wanaotarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Dunia yatakayofanyika Eugene, Oregon nchini Marekani, kuanzia Tarehe 15 julai Hadi Agosti 25.

Zimebaki takribani siku 50 kabla ya wao kwenda kutupa karata yao ya Kusaka Medali katika Mashindano hayo.

Pichani ; ni Emanuel Giniki Gisamoda akimaliza na kushinda Marathon yake ya kwanza huko Geneva, Uswisi Kwa muda wa 2:10:39.

 
Chama cha riadhaa kitaenda na msafara wa watu 50 + hao wachezaji
Ili kulipana per diem
Lakini kuwekeza kwenye wachezaji na mchezo ni sarakasi
Kila la heri kwao wakimbiaji wetu
Shamba la Bibi, TOC imeharibu Riadha Tanzania.
 
Hapo ndio bongo inapo tushangaza
Delegation inakuwa kubwa wavuja jasho hawathaminiki
Wanajiandikia Per diem za kutosha, kwa kuwa Watanzania wapo kimya nchi inaliwa mdogo mdogo, hasa TOC wanaongoza , kinara akiwa Filbert Bayi Sanka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…