Hakuna. Hayupo VP hapo kwa sababu vigezo, busara na utamaduni na mazoea yanawa disqualify wote..
1. Migiro na Amina - Ni wanawake. Tayari tunaye president mwanamke, basically anayepaswa kuwa VP sharti awe mwanaume
2. January Makamba Jr - kigezo cha dini kinamtupa nje. Hii siyo sheria ni busara, hekima na utamaduni wetu kwa kuwa Tanzania ni mchanganyiko wa dini nyingi. Vi vyema ku - diversify uongozi wa juu wa nchi..
Defenetely, VP atakuwa Mkristo toka ktk dini ya KIKRITO miongoni mwa dini kuu mbili yaani uislamu na ukristo ..
3. Benard Membe. Alijiharibia kuhama chama. Inaonesha ni mtu asiye na subira. Huyu ni 50/50 kuikwaa nafasi hiyo. Ni kwa neema tu anaweza kuwa VP
Hopefully, VP atatoka nje kabisa ya kundi hili