Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Zimebaki siku nne tu kwa mujibu wa katiba kumtangaza, kuthibitishwa na bunge na kuapishwa kwa Makamu wa Rais

Labda atatoka kwenye orodha ya majina 5 yaliyoingia fainali 2015

Walikuwa Magufuli, Amina, Migiro, January na Membe.

Ukiangalia vizuri unamuona makamu hapo!
Hamna Makamu hapo, Migiro no, January no, no, no, Membe asubiri kulima korosho kijijini Rondo
 
Rais wa JMT alikuwa Muislam
Makamu wake alikuwa Muislam
Rais wa Zanzibar alikuwa Muislam
Makamu wake Muislam
PM wa Zanzibar Muislam
Mawaziri wote waislam
Wanasheria wakuu wote wa bara na visiwani waislam kama ilivyo sasa

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Udini, Udini, Udini, unakusaidia niniiiii????????!??????
 
Salamu wakuu

Kuanzia tarehe 17/3/2021 mpaka leo ni siku kumi. Kwakuwa katiba inatamka ndani ya siku 14 makamu awe amepatikana, basi sasa rais na chama wamebakiwa na siku 4 kutuletea makamu.

Niwatakie kila la heri na watuletee mtu mwenye uwezo.
Tufafanulie basi hivyo vifungu mkuu vya katiba ndo tuanze mjadala!
 
Maadui hawakwepeki. Hata asipobadilisha atajitengenezea maadui wanaotaka abadilishe.

La msingi hapa ni tuheshimu maamuzi ya raisi atakapoyafanya na apewe nafasi ya kupimwa utendaji wake.

Pia asipimwe kwa kuendeleza mtindo wa uongozi wa Jpm bali apimwe kwa misingi ya katiba, sheria na ilani ya chama.
Umeongea sahihi kabisa!we mwanasheria mmbobezi nini🤗🤗🤗
 
Sasa VP anapotakiwa kutoka Zanzibar, huyo mkristo unampata wapi na atakubalika na wazanzibar???
Siku hizi wapo wengi tu. Unguja kuna wilaya 7. Ina wakuu wa wilaya 2 wakristo. Kwa hiyo hata akihitajika VP mkristo atapatikana tu.
 
seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Ibuge ni Magufuli alimuacha ashike vyeo viwili, Chief of Protocol na Katibu Mkuu Foreign Affairs, ndo mana yupo pale
 
Kama mzee Mangula ni lazima apige vema basi sioni kikwazo kwa Nchimbi maana hao ndio walikuwa CCM kindakindaki, wanakijua chama na wakati wa uongozi wao hapakuwa na hizi habari za ukanda na MATAGA PRAISE TEAM.

We ndo hujui lolote. So CCM ya Nchimbi Ni better than CCM ya JPM. Are you serious? Or just hate
 
Hakuna. Hayupo VP hapo kwa sababu vigezo, busara na utamaduni na mazoea yanawa disqualify wote..

1. Migiro na Amina - Ni wanawake. Tayari tunaye president mwanamke, basically anayepaswa kuwa VP sharti awe mwanaume

2. January Makamba Jr - kigezo cha dini kinamtupa nje. Hii siyo sheria ni busara, hekima na utamaduni wetu kwa kuwa Tanzania ni mchanganyiko wa dini nyingi. Vi vyema ku - diversify uongozi wa juu wa nchi..

Defenetely, VP atakuwa Mkristo toka ktk dini ya KIKRITO miongoni mwa dini kuu mbili yaani uislamu na ukristo ..

3. Benard Membe. Alijiharibia kuhama chama. Inaonesha ni mtu asiye na subira. Huyu ni 50/50 kuikwaa nafasi hiyo. Ni kwa neema tu anaweza kuwa VP

Hopefully, VP atatoka nje kabisa ya kundi hili
Member hakuhama, alifukuzwa. Ikitokea ndani ya siku 10 hizi chama kimeshamsamehe si anaweza kuteuliwa?
 
Labda atatoka kwenye orodha ya majina 5 yaliyoingia fainali 2015

Walikuwa Magufuli, Amina, Migiro, January na Membe.

Ukiangalia vizuri unamuona makamu hapo!
Usiwe mjinga, Makamu wa Rais hatakiwi kuwa na mawazo ya kugombea urais
 
Back
Top Bottom