Zimebaki Week 5 Kufanyika JF Get Together Party 2018

Tuombe Mungu ifane mwakani watu watatoka woga
 
Lengo kuu la hiyo party ni lipi?
 
Wewe usituchoshe. Mwanaume una gubu kama wifi. Kama wewe hujuani na watu n tatizo lako tuache tunaojuana tukajumuike. Halafu hii ni nchi huru usitupangie cha kufanya watu wazima wenzio.
Weka mchanganuo wa hiyo pesa
 
Slow slow hapana. Mgeni rasmi kama sijakosea atakua kaka yetu Maxence au Madame B nimejichanganya?
Mgeni rasmi Madame B ??? Sasa party organizer inakuwaje anakuwa mgeni rasmi????

Vigezo vipi vimetumika kumfanya awe mgeni rasmi? Au ana umuhimu gani?
 
Ndo unachokitaka. Kafungue tena uzi mwingine wa kusema party isifanyike maana ndo unachotafuta hapa. Zile nyuzi mbili sijui tatu ziliishia wapi kwanza? Una gubu sana Hance. Mawifi zako sijui unaishi nao vipi. Kama kitu hukitaki kiache waache wanaokifanya sio kila muda utake kutia pua yako.
Nimeuliza kistaarabu tu mkuu, mbona unakuwa mkali hivyo?
 
Waoooo babu yangu i misd you so much jomoni come and hug me maana siyo kwa kukumosi hukuu
Asante kwa taarifa mzee mama.

Hakuna vigezo vya umri? vibabu na vitoto vinaruhusiwa?

vibabu namaanisha 65+ vitoto 21-.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…