Zimebakia siku Chache za Taifa Kuadhirika kimichezo

Zimebakia siku Chache za Taifa Kuadhirika kimichezo

Vyura msikosee
IMG-20190110-WA0003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumepata aibu ya kutosha sana leo mkuu hapa taifa, poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
1993 fainali ilichezwa Nakivubo Uganda zidi ya Club Sport Villa,na wakarudia tena 1999 Nchini Uganda zidi ya Villa. Ni Timu pekee ya Tanzania iliyonyakua makombe mara nyingi nje ya Ardhi ya Tanzania ambapo Mikia hawajawahi kujaribu hata mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app


Mtaokoteza vihistoria vya kuunga unga vinavyosimuliwa kwe vijiwe vya alikasusi weee. Ila ukweli ni kwamba simba taifa kubwa, simba nguvu moja and yes we can.
 
Back
Top Bottom