Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Damu ya huyu mzee itamtesa sana mazaView attachment 3225010
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
View attachment 3225011
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
View attachment 3225013
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
Serikali ya Mama....... Ziiiii!View attachment 3225010
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
View attachment 3225011
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
View attachment 3225013
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
Subira yavuta heriSerikali ya Mama....... Ziiiii!
Chama kimeshindwa hata kufanya hitma yake!View attachment 3225010
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
View attachment 3225011
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
View attachment 3225013
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
Hitma ni ya FamiliaChama kimeshindwa hata kufanya hitma yake!
Kesho Dodoma Wanafutalisha Uji Asubuhi Na MapemaVyombo la uchunguzi vimekodiwa kupikia wali nazi kwenye uchaguzi na chama cha kipaguzi!
Mbwa hawezi kung'ata mkia wake.View attachment 3225010
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
View attachment 3225011
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
View attachment 3225013
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
MzilankendeJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Tanzania hakuna vyombo vya uchunguzi, tuna sahani za mchuzi.Kesho Dodoma Wanafutalisha Uji Asubuhi Na Mapema
Hakikuwa na mwakilishi!Hitma ni ya Familia
Nadhani hoja kwenye uzi huu ni Ulipofikia Uchunguzi wa Mauaji ya Ally KibaoHakikuwa na mwakilishi!
Kifo ni kifo tu, alisikika dikteta akibwata.View attachment 3225010
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
View attachment 3225011
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
View attachment 3225013
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
Kwamba Watekaji wale wa serikali walitumwa na mtu binafsi?Kufanya uzinzi na mke wa mtu ni jambo baya sana