Zimetimia siku 150 tangu kuuawa kwa Mzee Ally Kibao, Wananchi bado Tunasubiri Majibu ya Uchunguzi wa kifo chake

Zimetimia siku 150 tangu kuuawa kwa Mzee Ally Kibao, Wananchi bado Tunasubiri Majibu ya Uchunguzi wa kifo chake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2025-02-04-14-44-28-1.png


Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho

Screenshot_2025-02-04-14-44-03-1.png


Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.

Screenshot_2025-02-04-14-44-16-1.png


Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina
 
Vyombo la uchunguzi vimekodiwa kupikia wali nazi kwenye uchaguzi na chama cha kipaguzi!
 
Kufanya uzinzi na mke wa mtu ni jambo baya sana
 
Back
Top Bottom