Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu hapa ndio Ujumbe wa Rais wa Tanzania baada ya kushtushwa mno na kitendo hicho
Tungali tunasubiri vyombo vyetu Shupavu kutuletea Majibu na labda Majina ya Watekaji wake.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina