willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
VIONGOZI waliokuwa serikalini wakati wa mkataba wa kuzalisha umeme wa dharula wa Richmond bado wanaendelea kung'ang'aniwa
kwenye kashifa ya kushiriki kwenye ufisadi wa mkataba huo.
Wanaotajwa kushiriki kikamilifu, ni Edward Lowassa aliyekuwa waziri mkuu. Wengine waliokuwa mawaziri kwa nyakati tofauti katika
wizara ya nishati na madini, Dk. Ibrahim Msabaha na Nazir Karamagi.
Taarifa zinasema mipango ya siri ndani ya serikali ndiyo ilifanikisha mradi wa kifisadi wa Richmond/Dowans.
Je hii hiko vp na mbio za LOWASA kwenye uchaguzi 2015 atapo chuana na SLAA.
Soma
kwenye kashifa ya kushiriki kwenye ufisadi wa mkataba huo.
Wanaotajwa kushiriki kikamilifu, ni Edward Lowassa aliyekuwa waziri mkuu. Wengine waliokuwa mawaziri kwa nyakati tofauti katika
wizara ya nishati na madini, Dk. Ibrahim Msabaha na Nazir Karamagi.
Taarifa zinasema mipango ya siri ndani ya serikali ndiyo ilifanikisha mradi wa kifisadi wa Richmond/Dowans.
Je hii hiko vp na mbio za LOWASA kwenye uchaguzi 2015 atapo chuana na SLAA.
Soma