acha uongo wewe usiyeelewa ndiyo unamwogopa wenzio tuliopevuka kiakili tunamtaka awe mkuu wa nchi hii ili wezi wajisalimishe, ukitaka mtoto asife mkabidhi mchawi amlindewatanzania huyo mtu apelekwe mahakamani si ikulu. wezi ikulu kufanya nini au mnataka akaendelee na wizi? tubadilike jamani sisi huku njombe hatutaki hata kumsikia kwakua tunaogopa kuibiwa tena
kakojoe ulale.........nani kakudanganya ulpokua unacheza na watoto wa majrani....hivi mnafungua lini shule mbona nyingi zmeshafunguliwa....viongozi waliokuwa serikalini wakati wa mkataba wa kuzalisha umeme wa dharula wa richmond bado wanaendelea kunganganiwa
kwenye kashifa ya kushiriki kwenye ufisadi wa mkataba huo.
Wanaotajwa kushiriki kikamilifu, ni edward lowassa aliyekuwa waziri mkuu. Wengine waliokuwa mawaziri kwa nyakati tofauti katika
wizara ya nishati na madini, dk. Ibrahim msabaha na nazir karamagi.
Taarifa zinasema mipango ya siri ndani ya serikali ndiyo ilifanikisha mradi wa kifisadi wa richmond/dowans.
Je hii hiko vp na mbio za lowasa kwenye uchaguzi 2015 atapo chuana na slaa.
Leta hoja zenye mashiko,mjadala wa richmond mwulize sitta
Swali langu je kati ya kikwete na lowassa nani mshirika wa rostam kibiashara?
kwani six alimtuma kufanya dili, lowasa tupa kuleee
huyu lowasa alishitakiwa na baba yake mwenyewe kwa mwalimu nyerere kuwa anamiliki assests lukukui sijui kazipata wapi.....toka mda mrefu
huyu lowasa alishitakiwa na baba yake mwenyewe kwa mwalimu nyerere kuwa anamiliki assests lukukui sijui kazipata wapi.....toka mda mrefu
huyu lowasa alishitakiwa na baba yake mwenyewe kwa mwalimu nyerere kuwa anamiliki assests lukukui sijui kazipata wapi.....toka mda mrefu
wewe ndo mvivu wa kufikiri! lowasa ni fisadi, alitajwa orodha ya mafisadi 11, alisemwa na nyerere mara kibao mpaka nyerere akaomba kikao cha cc ya maccm akamsafishe EL akakataa!, nyerere aliwambia wajumbe wa cc mwaka 1995 wakati wanaccm wanaomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya ccm kwenye urais kwamba kama majina ya lowasa, malechela yangekuwemo kwenye kujadiliwa yeye katu asingethubutu kuhudhulia kikao hicho! leo lowasa anazunguka nchi nzima anaonga pesa makundi mbalimbali, anatafta nini hasa? hizo pesa anasema ni kutoka kwa marafiki zake, wanampango gani na nchi hii hawa? watanzania hatuwez kumkabidhi fisi kulinda bucha!!
unavyomwambia mwenzako kuwa yeye ni mvivu kufikiri unatakiwa wewe uwe una uhakika n\kama unaweza kufikiri kuliko yule unayemuita mvivu wa kufikiri
umeshindwakuambua kuwa Nyererena Lowassa walikuwa na Itikadi tofauti...
mmoja alikuwa ni wa ki socialism mwingine alikuwa na itikadi za kibepari
na socialism ndio umetufikisha hapa tulipo
ilahilo wewe hujalifikiri
ukimuuliza mtaalamu yeyote wa uchumi wa kipindi kile angekwambia kuwa hatukuwa tayari kuingia kule
ila baba wa taifa (r.i.p) alitupeleka na alimchukia kila mtu mwenye itikad tofauti na socialism
so lowassa alichukiwa sababu ya itikadi zake tu
huyu ni kumtupa chini sasa akichapa kazi halafu akakuibia faida ni ipi?ila tuseme ukweli,lowasa anatisha huko ccm wapinzani wake ni kama wameshakata tamaa tu.nyerere mwenyewe alitumia kura ya veto kumzuia.sasa hawa watoto waliobaki watazuia vipi wadau?mi binafsi ananitisha sana,pesa anatoa wapi?na atarudishaje?kuhusu kuchapa kazi jamaa yupo fiti,ila hapo kwenye pesa yake lazima atuuumize tu.
huyu ni kumtupa chini sasa akichapa kazi halafu akakuibia faida ni ipi?