Wapendwa salaam.
Katika maongezi ya kawaida niliwahi msikia mtu akisema kuwa kikawaida shahawa zinapomwagwa ukeni hazitakiwi kushuka/kuchuruzika (kutoka ukeni).
Lakini endapo mwanaume anapomwaga ukeni kisha shahawa zikachuruzika kutoka nje ya uke, hiyo siyo kawaida ni ishara kuwa hizo shahawa hazina joto na hazina nguvu ya kutungisha mimba hivyo haziwezi kutungisha mimba Jamani hili lina ukweli wowote?
Naombeni mnifahamishe wandugu. Ahsanteni
Katika maongezi ya kawaida niliwahi msikia mtu akisema kuwa kikawaida shahawa zinapomwagwa ukeni hazitakiwi kushuka/kuchuruzika (kutoka ukeni).
Lakini endapo mwanaume anapomwaga ukeni kisha shahawa zikachuruzika kutoka nje ya uke, hiyo siyo kawaida ni ishara kuwa hizo shahawa hazina joto na hazina nguvu ya kutungisha mimba hivyo haziwezi kutungisha mimba Jamani hili lina ukweli wowote?
Naombeni mnifahamishe wandugu. Ahsanteni