Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

T
Baba bashite atabaki na walamba viatu vyake tu, lakini wenye akili zao timamu hawawezi kukaa naye kwenye uongozi wake
ema nyongo lakini ukweli utabaki kuwa ukweli wameondoka. Hata hivyo kuna vijana wengi wamesoma na hawana kazi watajaza nafasi zao
 
Kuna mtu mwenye kesi mbaya kwasasa zaid ya Bashite? Huyu ni mwizi wa vyeti, mvamizi wa vyombo vya habari, mshirika mkubwa wa wauza madawa.
Kwa mnavyopenda sifa mngesubiri hata wajiuzulu wakati inajulikana kuna mbumbumbu wengi mnaosubiri taarifa za kutumbua ili mshangilie?
 
ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia
Hello ndugu, ID inakuwaje feki? Ninachojua mimi kwenye media industry watu wengi humu wanatumia unverified/undisclosed au pen names, which is acceptable. Sasa ufeki unatoka wapi? Nadhani ume-overreact.
 
Acha upuuzi MTU anaiba hukamatwa Na kustakiwa,Na utaratibu wa kawaida tu MTU huyo akiomba kuacha kazi hakubaliwi maana atapewa benefit zake,mwivi hufukuzwa Na kushtakiwa,katafute upya habari
 
Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?
Yaani kwa mfano huyo jaji anayesemwa sio mtanzania, inakuwaje aachwe eti ajiuzuru wakati si raia wa Tanzania? Kudanganya uraia ni kosa la jinai kwanini asikamatwe na kushtakiwa kwa kosa hilo linalofanana na uhaini? Kama taarifa hiyo ni ya kweli basi kuna tatizo kwenye system.
 
Eti ana chanzo cha ndani ambacho hathubutu hata kukitaja.
Na kwa hao majaji kwa taarifa yake kutoa hukumu yenye makosa sio dhambi kisheria, ndio maana mahakama ya rufani ipo..(kurekebisha makosa na ziko rufani lukuki), na pili pesa chafu ya ruge wa escrow,?? Hivi ruge alishashitakiwa kwa hilo kosa la kutoa rushwa wapi?
Yaani jaji hawezi pigwa chini kwa kosa la kupewa rushwa na ruge wakati ruge bado anadunda mtaani bila hata arrsst warrant wala charge sheet.
Kumpiga chini jaji kwa makosa ya maadili ya kikazi ni jambo refu ambalo huwatoa jasho hata marais.
Mletata tetesi ajipange afu arudi upya na vitu vyenye ushahidi.
 
Na hizi zinaendelea kuwa tetesi..
 
ASANTE KWA TUHUMA MAANA SIO TAARIFA
 
Eti Meck Sadil unadhani atashughulikiwa? Hivi Mkuu ni kweli ufisadi wooooote uliofanyika ndani ya Tanzania ndo ashughulikiwe huyo kwa hizo Bilion 2 tu?
Bilioni 2 ni sawa na milioni elfu mbili, kwako unaona ni hela kidogo!!! Wewe utakuwa sawa na mzee vijisenti au mama tiba anayesema milioni kumi ni hela ya mboga
 
Judge Msuya ni mgonjwa muda mrefu sana sasa, hawezi kuendelea na kazi. Kwanza mwaka huu alikuwa anastaafu kwa sababu anatimiza miaka 60.


Last I checked, if you resign you lose your lifetime retirement benefits. Hakuna mtu ataekubali kupoteza mafao yake ilhali mwaka huu huu anafikisha miaka ya ku retire. It doesn't compute.

Daudi Balali aliugua mpaka akafa na hakulazimika hata siku moja kujiuzulu kwa sababu eti unaumwa, japo alikuwa anai run BOT akiwa kitandani Boston, Massachussetts, hoi mahututi, na mwisho wa siku walipewa mafao ya marehemu, kwa sababu alifia kwenye ajira.

Na kuhusu controversial judgments alizotoa Jaji Msuya kwa prosecuted drug cartels, kama unadhani ilikuwa ni kesi moja basi hukufuatilia kwa karibu her tumultous career.
 
hiyo kali
 



bashite anazo kashfa nyingi mbona pccb hawamfwati?????
necta kimyaaa.
 
Umenena.Hata kama tuna haki kuzusha but not to that extent
 
Najua ukweli unauma lakini huo ndio ukweli, mpe pole kwa kuumwa.
Mimi hawa member waliojiunga muda mrefu lakini ukiangalia idadi ya posts hapa Jukwaani ni chache! Huwa nawatilia mashaka kuwa uwenda ni mamajusi watafuta taarifa za kuzaliwa mfalume mpya! Na wakati mwingine huwa hawaibuki na vitu vya kitoto. Mara chache sana hawa mamajusi ku'bugi' katika post zao.
 
Eti Meck Sadil unadhani atashughulikiwa? Hivi Mkuu ni kweli ufisadi wooooote uliofanyika ndani ya Tanzania ndo ashughulikiwe huyo kwa hizo Bilion 2 tu?
Sio bil mbili tu sema 'Tubilioni tuwili tu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…