Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

wananchi na haswa baadhi ya watumishi wa kitanzania ni wanafiki na wapiga majungu hatari sana!!

majungu na unafiki ni jambo hatari sana ktk utendaji wa kazi. Serikali kupitia wizara husika komesheni tabia hizo kwani vitendo hivyo vikiachiwa vita waumiza wengine wasio na hati.

acheni majungu na fitina makazini!!

majumgu na fitina havina nafasi ktk awamu hii ya 5!!!

wafichueni wafitini na wapiga majungu kwani watu hao ndio kikwazo cha vfanisi kazini.
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Smear campaign at work
 
Hii tabia ya kutusingizia wazawa wa Kagera kutokuwa raia muache mara moja. Kupakana na nchi nyingi sio sababu ya kutushuku na kutuzushia.

Ni kweli mnaonewa sana, NA sababu kubwa ni elimu yenu NA pia maendeleo yetu.

Lakini kosa moja kubwa sana mlilikuwa nalo ni kutokuwa NA imani NA nchi yenu, you always favor Uganda or Rwanda than your own country, NA mnapendeleana ndio maana wengi wanamiona vibaya
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Try kupunguza povi
 
Petro, lkini she is implicated in granting bail to drug cartel Pakistanis! Labda kwa vile kulikuwa na weakness katika defense??? akapata mwanya huo??? imesemwa hivyo??? Najua alikuwa Tanga of recent, lakini kashifa ya kuwafadhili watuhumiwa wa madawa ya kulevya imesemwa sana.....
Katika utendaji wa kimahakama,kila Jaji au Hakimu husemwa kwa namna yake kwakuwa hutoa hukumu au uamuzi unaompa ushindi mmoja. Kusemwa ni sehemu ya maisha ya kimahakama kwakuwa pande za kesi haziridhiki kwa pamoja.
 
Bashite anaenda kufichwa Mkoani Kilimanjaro, mujiandae
 
Au anataka kututoa kwenye reli ya kula rambi rambi
 
unachekesha kweli...umeandika Tetesi
kisha habari unatumia maneno inasemekana
hapo hapo unasema habari za uhakika chanzo cha ndani

chanzo cha ndani ya wapi?kilimanjaro mahakamn au wapi?

inasemekana inamansha haina uhakika so vipi uje uwandike tena ni habari za uhakika??
 
Naona kama ulichoandika ni kutaka kujifurahisha na kutufurahisha tu, kwanini tukuamini?
 
Hao majaji wana makandokando mengi yakiwemo uliyoyaeleza mtoa mada na yanashawishi. Lakini bado sijaridhika kwa huyu RC nguli na muadilifu Meck Sadik. Naomba uendelee kupekenyua uje na sabb za uhakika za kujiuzuru kwake.
 
Back
Top Bottom