Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Weka wazi chanzo cha taarifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kama hawa Dom, Dsm na ArsBaba bashite atabaki na walamba viatu vyake tu, lakini wenye akili zao timamu hawawezi kukaa naye kwenye uongozi wake
Naunga mkono point yakoMmeanza kuwachafua,kabla ya kujiuzulu mlikua kimya ila sasa mmeanza kusambaza uongo kama kawaida yenu.
Smear campaign at workHizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro
Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.
2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.
3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.
Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.
TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Hii tabia ya kutusingizia wazawa wa Kagera kutokuwa raia muache mara moja. Kupakana na nchi nyingi sio sababu ya kutushuku na kutuzushia.
Try kupunguza poviMkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.
Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Katika utendaji wa kimahakama,kila Jaji au Hakimu husemwa kwa namna yake kwakuwa hutoa hukumu au uamuzi unaompa ushindi mmoja. Kusemwa ni sehemu ya maisha ya kimahakama kwakuwa pande za kesi haziridhiki kwa pamoja.Petro, lkini she is implicated in granting bail to drug cartel Pakistanis! Labda kwa vile kulikuwa na weakness katika defense??? akapata mwanya huo??? imesemwa hivyo??? Najua alikuwa Tanga of recent, lakini kashifa ya kuwafadhili watuhumiwa wa madawa ya kulevya imesemwa sana.....
Hizo ni facts,si povu.Try kupunguza povi
Sbb ni wanaccm sugu. Wezi hulindanaKama makosa ni hayo kwa nini serikali haikuwawajibisha inasubili wajiuzuru!!????????
Sawa nimekupata mkuuSbb ni wanaccm sugu. Wezi hulindana
Zimwi likujualo!!Sasa kama ni hivyo kwa nini hawakukataliwa kuachia ngazi ili badala yake wakamatwe, Washitakiwe ili sheria ichukue mkondo wake?