Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Tetesi: Zinazodaiwa kuwa sababu za RC Meck Sadiki, Jaji Mujulizi na Jaji Upendo Msuya kuacha kazi

Jaji kuwapa watuhumiwa dhamana ni jukumu la jaji kulingana na strength ya wakili wa watuhumiwa na weakness ya mwendesa mashtaka wa serikali. Kama serikali haikuridhika na uamuzi, inakata rufaa. Suala watuhumiwa kuruka bond, ni kosa waliowadhamini - WAKAMATWE.

Jaji kuwa na tuhuma ya uraia haimfanyi Jaji kujiuzuru. Ni suala la uhamiaji kuthibitisha na hatua kuchukuliwa. Suala la Escrow, walikuwa wengi wakiwemo majaji, maaskofu, wanikulu, mawaziri, wabunge na hata wana usalama. Kwa nini awe Mujulizi peke yake na kwa nini sasa? Kama hela ilikuwa chafu mbona mwenye hela Rugemalira bado yuko huru?

Majaji kukosa sifa ni suala la kikatiba na huchunguzwa na tume ya majaji wa jumuia ya madola.

Nami msiniulize chanzo: Nasikia Mujulizi amejiuzuru kwa sababu anashinikizwa kupindisha sheria huko aliko?! Jaji Msuya anatoka kanda mbaya. Mecky Sadiki amejengewa mazingira magumu kuuongoza mkoa wa Kilimanjaro.
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Hivi halmashauri ya jiji na manispaa zilikuwa wapi wakati RC akichota hizo hela????????? wacheni majungu ya kitoto
 
Mkuu,unajua kuwa Jaji Upendo Msuya amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu? Msifanye kila jambo kuwa la kisiasa na kuwapakazia watu. Kujiuzulu si dhambi,ni haki ya mtu.

Acha ramli chonganishi kwakuwa,kama wengi wetu,hukuziona barua zao za kujiuzulu zinazoainisha sababu. ID yako feki isikupe haki ya kuropoka na kupakazia.
Haya tupe ukweli mtume peterooooo basi
 
Speculations tu, hakuna facts hapo. Zangu hizi hapa:
Wawili wameondolewa, ila tu wamepewa fursa ya kujiuzulu kuepuka aibu ya kutumbuliwa, kama aliyopewa John Casmir Minja kamishna general wa Magereza.
  1. Mzee Sadiki katolewa sababu ya ukaribu na wapinzani. Hata Dar alikuwa poa tu na akina John Mnyika na Halima Mdee.
  2. Jaji Mujulizi ameponzwa na ukaribu na hata uhusiano wa kibiashara na Lawrence Masha, the unwanted.
  3. Jaji Upendo Msuya ni mgonjwa hajiwezi.

Kuna ukweli kwa 95%
Sadiki amelazimishwa kutokana na kushirikiana na wapinzani
Na huyu mama kweli ni mgonjwa but huyu mwingine sijui kwa nini!
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Aloysius "kibuuka" Mujulizi. Kwa hiyo na maamuzi yote ya kesi km ni kweli waathirika wakate rufaa. Ila hilo jina la kati??!
 
I think you would better construe the argument I raised, which is well anchored in media, and particularly JF philosophy. Yours is such parotic notion. In the media fraternity the term fake doesn't equally mean undisclosed/concealed identity for security reasons.
Could you translate what you are trying to say, please?
 
M
Lisemwalo lipo! Mind we do not always work with evidence in ethical issues. Ukimuona mtu ana mali ya bilioni nyingi for example, lakini mshahara wake ni laki mbili kwa mwezi na hana biashara inayojulikana, tunaweka ????????
Bona bashite now ni bilionea mtoto na haguswi
Sadiki kilichomponza ni kushirikiana na wapinzani hao wengine ndiyo sijui
 
kuwe na ukweli au la, cha msingi tunawashukuru kwa kulitumikia taifa lao kwa uzalendo mkubwa, sasa tunawatakia mapumziko mema ktk maisha mapya.
tatizo ni kwa wale ambao hawaangalii umri wao, wanataka kuifia kazini!!!!
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Mujuluzi anafahamika alipiga hela za escrow, na bado kuna jaji mwingine pia, naye aachie ngazi. Lakini cha ajabu imechukua muda sana kuachia ngazi.zaidi ya miaka miwili.
 
Jambo la wazi ni kwamba Majaji na watu wengine wamekuwa wakijiuzulu kwa muda mrefu,, na hasa hasa wakifikia muda wa kustaafu kwa hiari. Tatizo ni kwamba utawala huu umekuwa ukiandika kila jambo kwa lengo la kupata sifa zisizo na maana. Nakumbuka Jaji Kalegeya na Jaji Chingwile ,,wao walijiuzulu kipindi cha Kikwete lakini hatukutangaziwa hivyo,, na walikubaliwa kuacha. Pia kuna Jaji Mwalusanya ,,,the late yeye aliacha ujaji Kipindi cha Mkapa. Na mara nyingi sana sababu za kuacha huwa zinakuwa personal sana,, kwa mfano ugonjwa,,,au kuichoka kazi hiyo isiyokuwa na uhuru kabisa,, au kuamua kwenda kuishi maisha mapya. Na mtu anayeacha na kukubaliwa anapatiwa mafao yote (Ambayo ni mazito sana,, ikiwepo Gari aina land Cruiser Mpya). Kwaiyo si sahihi kuhusisha mambo yasiyo uhakika kwa watu wanaoacha kazi za Ujaji. Jaji Upendo Msuya amefanya kazi kubwa mahakamani,, kazi ya kuthibitisha kosa au makosa waliyotenda watu katika jinai ni ya DPP si ya mahakama na kama hujaridhika unakata rufaa dhidi ya uamuzi huo.Na amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu.
Jaji Mujulizi ni jaji ambaye historia yake inaanzia IMMMA Advocates,,. Na alifanikiwa sana akiwa wakili wa kujitegemea ,, na wengi walishangaa yeye kwenda kujiunga na Judiciary,,, lakini inaonekana aliombwa sana na JK ili kuweka mchango wake kwenye judiciary na Law Reform Commission.
...hebu soma post [HASHTAG]#171[/HASHTAG] ya Dr Akili tuendeleze mjadala,
..kwa lengo la kujifunza kwa faida ya wengi!
 
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro

Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, imethibitika alifuja kiasi kikubwa takribani bilioni mbili za usafi ktk Jiji la Dsm na ilikuwa akamatwe na PCCB lakini kaamua kuachia ngazi nadhani atashughulikiwa.

2. Ndg. Aloysius Kibuuka Mujulizi - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Huyu ana makosa mawili makubwa, la kwanza ni lile la ESCROW Account alipokea fedha chafu za Rugemalira na kukosa sifa za kuwa Jaji mwaminifu, la pili huyu si raia wa Tanzania hivyo si mtanzania yeye ni Mganda habari za uhakika zimethibitisha hilo, Hivyo hana sifa ya kuwa Jaji huyu.

3. Ndg. Upendo Hillary Msuya - Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania.

Huyu ndiye Jaji wa hovyo kabisa yeye ameshiriki kuwaachia watuhumiwa wa kesi za madawa ya kulevya na kupokea rushwa kitendo hicho kinamuondolea sifa ya kuwa Jaji mwaminifu.


TAARIFA HIZI NI ZA UHAKIKIA KABISA KUTOKA CHANZO CHA NDANI!
Watoswe nyang'au hawa. JPM funga jela wahuni hawa.
 
Back
Top Bottom