Zinduna Talk Show: Exclusive interview na Ciello kuhusu ushindi wake wa Miss chit chat wa jana~~~~!

Siko comfortable kumtaja,siwezi kukumbushia ,its in the past, we were there and we did wat we did!
Swali la mwisho

Nani alikutoa bikira bi Ciello. Ulijisikiaje? Ukikutana naye utajikumbushia? Kwanini?
 
Last edited by a moderator:
Thanx mkuu!
Kwanza nikutake 'razi' kwa kuchelewa kuja hapa Zinduna, (I hope my apology will be granted and accepted.) Kwako Ciello congratulations kwa kujibu maswali ki-hekima zaidi. Pili una INTELLIGENT QUOTION KUBWA, Lastly keep our promise alive! Much love
 
Last edited by a moderator:
Siko comfortable kumtaja,siwezi kukumbushia ,its in the past, we were there and we did wat we did!

Oyaa missie acha longolongo bana. Mbona hujajibu ulijisikiaje? Erickb52 hebu kuja pande hii.

Swali la mwisho kabisa.... Kwanini umegoma kukaguliwa na mimi babu wa wajukuu? Hupendi kwenda mbinguni? Haya hebu kam zis wei....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah maswal yako duh!we njoo nikague mie sina tabu.
Oyaa missie acha longolongo bana. Mbona hujajibu ulijisikiaje? Erickb52 hebu kuja pande hii.

Swali la mwisho kabisa.... Kwanini umegoma kukaguliwa na mimi babu wa wajukuu? Hupendi kwenda mbinguni? Haya hebu kam zis wei....
 
Last edited by a moderator:
No.8:Sijaolewa na sina mtoto.Kuhusu kuwa na mpenzi niseme tu its complicated!

Dadavua,ulo nae kama kiwembe type ya Erickb52 mpige chini fasta,wanaume wakweli wenye upendo wa zati mihela ya kufa mtu kama bishanga tumejaa tele,we ni PM tu keshotukwae KLM tukale nchi bahamas.
 
Last edited by a moderator:
Ciello my dearest hongera kwa kuwa Miss CC wa mwezi November..ila kabla sijaondoka naomba nikuswalike kamoko..ni hivi..'Unapambana vipi na haka kavita kakitaifa kuhusu HIV?...dadavua please??
 
Last edited by a moderator:
Shukran mkuu!kwa sehemu kubwa na-abstain,bt ikibid i play it safe!
Ciello my dearest hongera kwa kuwa Miss CC wa mwezi November..ila kabla sijaondoka naomba nikuswalike kamoko..ni hivi..'Unapambana vipi na haka kavita kakitaifa kuhusu HIV?...dadavua please??
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah maswal yako duh!we njoo nikague mie sina tabu.

Well well well.....

Najua ile mijitu yenye roho mbaya kama kiatu cha Mugabe itachonga sana juu yangu na yako.

Baada ya kusema hayo hebu sasa jibu swali na mzee bashaija Bishanga hapo juu..... Kwamba unapenda staili gani kwenye kunaniliyuiwa?

Unaruhusiwa kunijibu kwenye PM kama unaogopa haya mabazazi mapenda wake za watu yatakuchora.
 
Last edited by a moderator:
Vinavyohusu maswala ya uchumi,siasa na novels.4 music napenda rhumba,nigerian music na bongofleva

Hapo kwenye rumba hapo umenikuna. Linapokuja swala la rumba sijawahi pata mpinzani asee. Nalikataje sasa?

Tena kama Rumba la Bob Marley au la Michael Jackson ndo kabisaaaaa unaniuaua!

Hebu kam zis wei tulisakate rumba mamito. Siwezi kuliwacha rumba bila moyo kunituma.

HARAMBEEEEEE!
 

Toa iyo laptop hapo. Katikati nataka nione apple la ndani! Mh!
 
Hahahahahah naomba nisilijibu hilo swali!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah naomba nisilijibu hilo swali!

C'mon babes? Hata kwa PM? It will be tween you, I and me....... and Only us.

Hebu do the needful kabla sijamrushia shetani mawe.
 
Huhuhu....... physics... Umenikuna mama.... Ila mathematics aaah hua inanichosha sana siipendi na hata chuo ni somo ambalo nilikua na faulu kwa miujiza..... I hope mama eng hapa kumbe tuna match kabisaaa....
 
No nilitaka kustudy mining bt nikapotezea!
Huhuhu....... physics... Umenikuna mama.... Ila mathematics aaah hua inanichosha sana siipendi na hata chuo ni somo ambalo nilikua na faulu kwa miujiza..... I hope mama eng hapa kumbe tuna match kabisaaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…